CCM, JamiiForums ni watu siyo Mashine!!

CCM, JamiiForums ni watu siyo Mashine!!

Siku DJ makengeza akistaafu ndo tutawaelewa. Vinginevyo huu muda ni wa kuchapa kazi kuanzia level ya mtu mmoja mmoja, familia na taifa kwa ujumla. Sio kila time ni za kubishana na viroja vya JF badala ya hoja za msingi za kujenga taifa letu. Ishu ya CDM na UFIPA kwa ujumla kutumika na mabwanyenye kuifanya serikali ya awamu ya tano isitulie ktk kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya wananchi hasa wanyonge imeshashtukiwa kitambo sana. Wanasema hata dhahabu hupitia kwenye moto mkali sana ndipo ing'ae. Raisi MAGUFULI endelea kukamatilia hapohapo hadi wakora na manyang'au wasalimu amri
Mama yako huyu ndo amekuzalia kwenye ofisi za ccm
tapatalk_1544935577623.jpeg
 
Kila wakati CCM wakizidiwa kwenye mijadala humu JF hukimbilia kusema kuwa "CCM haipendwi JF tu lakini mitaani inapendwa"

Niwafahamishe CCM kwamba sisi tunaochangia humu tunaishi mitaani na siyo mashine (Robot) bali ni watu halisi.

Sisi tumo mitaani na wakati mwingine maoni tunayoyatoa ni ya watu wengi walioko "mitaani" CCM inakosema inaungwa mkono!

Kama mnaungwa mkono mitaani na mnapingwa kwenye mitandao ya kijamii, ni kwa nini basi msiruhusu huko mitaani CHADEMA nao wafanye siasa ili ionekane wanavyokataliwa na watu wa mitaani?
Bila polisi ccm ni wepesi kuliko pamba
 
Hahahahahahaha UFIPA mtachemka tu kwa spidi hii. Ukitaka kuona mbio ya kinyonga we choma msitu.
Wewe kijana mimi siyo upinzani ni ccm haswa kama utataka nikupe namba yangu ya kadi ukahakiki ndo ujue wote wanaokosoa humu siyo wapuuzi kama wewe na wazazi wako!
 
Nani atawapenda CCM chama cha wauaji na wanyang’anyi!? Wasojitambua tu na akili za kushikiwa ndiyo wanaweza kufanya hivyo. Hata muasisi wa CCM alishaanza kuiponda miaka ile na wakati ule hali ndani ya chama hicho haikuwa ya kutisha kama ilivyo sasa.
Mkuu ulipotelea wapi?
 
Nani atawapenda CCM chama cha wauaji na wanyang’anyi!? Wasojitambua tu na akili za kushikiwa ndiyo wanaweza kufanya hivyo. Hata muasisi wa CCM alishaanza kuiponda miaka ile na wakati ule hali ndani ya chama hicho haikuwa ya kutisha kama ilivyo sasa.
IMG-20180811-WA0018.jpg

IMG-20180807-WA0007.jpg

IMG-20180807-WA0008.jpg
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kila wakati CCM wakizidiwa kwenye mijadala humu JF hukimbilia kusema kuwa "CCM haipendwi JF tu lakini mitaani inapendwa"

Niwafahamishe CCM kwamba sisi tunaochangia humu tunaishi mitaani na siyo mashine (Robot) bali ni watu halisi.

Sisi tumo mitaani na wakati mwingine maoni tunayoyatoa ni ya watu wengi walioko "mitaani" CCM inakosema inaungwa mkono!

Kama mnaungwa mkono mitaani na mnapingwa kwenye mitandao ya kijamii, ni kwa nini basi msiruhusu huko mitaani CHADEMA nao wafanye siasa ili ionekane wanavyokataliwa na watu wa mitaani?
Hongera Unajitahidi sana, lakini ukweli utabaki ukweli tuu.
 
Kila wakati CCM wakizidiwa kwenye mijadala humu JF hukimbilia kusema kuwa "CCM haipendwi JF tu lakini mitaani inapendwa"

Niwafahamishe CCM kwamba sisi tunaochangia humu tunaishi mitaani na siyo mashine (Robot) bali ni watu halisi.

Sisi tumo mitaani na wakati mwingine maoni tunayoyatoa ni ya watu wengi walioko "mitaani" CCM inakosema inaungwa mkono!

Kama mnaungwa mkono mitaani na mnapingwa kwenye mitandao ya kijamii, ni kwa nini basi msiruhusu huko mitaani CHADEMA nao wafanye siasa ili ionekane wanavyokataliwa na watu wa mitaani?
Wakikujibu Ni_TAG.
 
Huku mtaani haturuhusiwi kutoipenda
Eenh hee! Hamruhusiwi kutoipenda CCM? Tutayasikia mengi miaka hii.

Baada ya hapo hamtaruhusiwa kufikiri, ni lazima pawepo watu watakaofikiri kwa niaba yenu.
 
Back
Top Bottom