Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,176
- 48,460
Kila wakati CCM wakizidiwa kwenye mijadala humu JF hukimbilia kusema kuwa "CCM haipendwi JF tu lakini mitaani inapendwa"
Niwafahamishe CCM kwamba sisi tunaochangia humu tunaishi mitaani na siyo mashine (Robot) bali ni watu halisi.
Sisi tumo mitaani na wakati mwingine maoni tunayoyatoa ni ya watu wengi walioko "mitaani" CCM inakosema inaungwa mkono!
Kama mnaungwa mkono mitaani na mnapingwa kwenye mitandao ya kijamii, ni kwa nini basi msiruhusu huko mitaani CHADEMA nao wafanye siasa ili ionekane wanavyokataliwa na watu wa mitaani?
Niwafahamishe CCM kwamba sisi tunaochangia humu tunaishi mitaani na siyo mashine (Robot) bali ni watu halisi.
Sisi tumo mitaani na wakati mwingine maoni tunayoyatoa ni ya watu wengi walioko "mitaani" CCM inakosema inaungwa mkono!
Kama mnaungwa mkono mitaani na mnapingwa kwenye mitandao ya kijamii, ni kwa nini basi msiruhusu huko mitaani CHADEMA nao wafanye siasa ili ionekane wanavyokataliwa na watu wa mitaani?

