johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,149
Kigwangalla anakaribia 50 siyo kijana tena ni " dingi"Wazo zuri ila vijana nao tunatofautiana rika. Bado tutawahitaji vijana rika la kina Stamina na Kala kuwaelewesha vijana wa rika lao ila pia kina Kigwangala watahitajika kuwashawishi na kuwaelewesha vijana wa rika lao.
Kigwangala, Mwigulu, Nape na Makamba Hawa ni wazee. Ujana mwisho miaka 36 lkn Hawa wanaitafuta 50. Kigwangala yeye yuko 53 amezeeka kabisaaakina Kigwangala watahitajika kuwashawishi na kuwaelewesha vijana wa rika lao.
Mbona vijana wanao akina Heri James, Furaha Dominic sema mambo yamechacha tu. Sio kwamba hawana vijana.
Hilo la Lisu unamsingizia bwashee.Jana Mwigulu alikuwa anaongea pale Itigi wananchi wanamuangalia tu kama msukule.
Hana mvuto tena Mwigulu. Ananuka damu ya Lisu. Alibariki jaribio la kutaka kumuua ndugu yake Lisu.
(Ikumbukwe huyu ndiye alikuwa waziri wa Mqmbo ya ndani wakati Lisu anapigwa risasi).
Hahahaaaa...... Ni " watu wazima" siyo wazee bwashee!Kigwangala, Mwigulu, Nape na Makamba Hawa ni wazee. Ujana mwisho miaka 36 lkn Hawa wanaitafuta 50. Kigwangala yeye yuko 53 amezeeka kabisaaa
Kupoteana siyo rahisi kama unavyofikiria!CCM wamesha poteana.... Ndani ya chama upo msuguano mkubwa.
CCM asili wanayo ya moyoni na hawawezi kushilikiana na hao CCM chotara ambao wengi Ni wageni ktk chama...
Bwashee naona unajipigia pass ndefuWapiga kura zaidi ya 60% ni hawa vijana wa kizazi kipya ambao wana namna wanavyoelewana kwa " lugha " yao. Naamini UVCCM kuna vijana wengi wenye uelewa na uwezo mkubwa wa kuchambua sera kama wafanyavyo wachambuzi wa soka, wapeni nafasi.
Hawa akina Kigwangalla wakati umeshawatupa mkono hawawezi siasa za kizazi kipya sana sana wataendekeza visasi tu badala ya kukiandaa chama kwa uchaguzi wa 2025 Rais Magufuli atakapomaliza muhula wake wa pili.
Hata majukwaani nimeona vijana Kalla na Stamina wanaielezea vizuri ilani ya CCM kuliko baadhi ya wakongwe ambao hawana mbinu za amsha amsha zaidi ya kuongea kibondia.
Mungu mbariki Rais Magufuli.
Mungu ibariki CCM
Maendeleo hayana vyama!
Bwashee umeshazimua lakini?Bwashee naona unajipigia pass ndefu
Tatizo vijana wa Ccm ni wachache halafu wanaongea pumba na hawasikiliziki kwenye jamii
Mfano ni wewe mwenyewe ,Jane Lowassa
CCM inapumulia mashine , kinanasi anahutubia Matema lakini anawaambia wananchi ccm imejenga flyover Tazara !Wapiga kura zaidi ya 60% ni hawa vijana wa kizazi kipya ambao wana namna wanavyoelewana kwa " lugha " yao. Naamini UVCCM kuna vijana wengi wenye uelewa na uwezo mkubwa wa kuchambua sera kama wafanyavyo wachambuzi wa soka, wapeni nafasi.
Hawa akina Kigwangalla wakati umeshawatupa mkono hawawezi siasa za kizazi kipya sana sana wataendekeza visasi tu badala ya kukiandaa chama kwa uchaguzi wa 2025 Rais Magufuli atakapomaliza muhula wake wa pili.
Hata majukwaani nimeona vijana Kalla na Stamina wanaielezea vizuri ilani ya CCM kuliko baadhi ya wakongwe ambao hawana mbinu za amsha amsha zaidi ya kuongea kibondia.
Mungu mbariki Rais Magufuli.
Mungu ibariki CCM
Maendeleo hayana vyama!
Nipo hapa kwa PubBwashee umeshazimua lakini?
Simuongelei Nyalandu, yawezekana umechanganya majina.Hilo la Lisu unamsingizia bwashee.
Mwigullu Nchemba ni miongoni mwa wanaccm wachache waliombeba Lisu kumuingiza ndani ya ndege.
Hata mimi simuongelei Nyalandu bali Dr Mwigullu Nchemba!Simuongelei Nyalandu, yawezekana umechanganya majina.
Kinanasi huyu mbunge wa Kyela?CCM inapumulia mashine , kinanasi anahutubia Matema lakini anawaambia wananchi ccm imejenga flyover Tazara !