johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,566
Wapiga kura zaidi ya 60% ni hawa vijana wa kizazi kipya ambao wana namna wanavyoelewana kwa " lugha " yao. Naamini UVCCM kuna vijana wengi wenye uelewa na uwezo mkubwa wa kuchambua sera kama wafanyavyo wachambuzi wa soka, wapeni nafasi.
Hawa akina Kigwangalla wakati umeshawatupa mkono hawawezi siasa za kizazi kipya sana sana wataendekeza visasi tu badala ya kukiandaa chama kwa uchaguzi wa 2025 Rais Magufuli atakapomaliza muhula wake wa pili.
Hata majukwaani nimeona vijana Kalla na Stamina wanaielezea vizuri ilani ya CCM kuliko baadhi ya wakongwe ambao hawana mbinu za amsha amsha zaidi ya kuongea kibondia.
Mungu mbariki Rais Magufuli.
Mungu ibariki CCM
Maendeleo hayana vyama!
Hawa akina Kigwangalla wakati umeshawatupa mkono hawawezi siasa za kizazi kipya sana sana wataendekeza visasi tu badala ya kukiandaa chama kwa uchaguzi wa 2025 Rais Magufuli atakapomaliza muhula wake wa pili.
Hata majukwaani nimeona vijana Kalla na Stamina wanaielezea vizuri ilani ya CCM kuliko baadhi ya wakongwe ambao hawana mbinu za amsha amsha zaidi ya kuongea kibondia.
Mungu mbariki Rais Magufuli.
Mungu ibariki CCM
Maendeleo hayana vyama!