CCM itavuka changamoto hizi; Kidumu Chama cha Mapinduzi!

CCM itavuka changamoto hizi; Kidumu Chama cha Mapinduzi!

Mimi namshauri kama kweli huyu ni mbunge kwenye celebrum na medula oblngata yake aondoe memory ya itikadi za chama Badala yake a overwwite space ilokuwa na itikadi ya chama na real requirement za jimbo lake.


  • Tutashangaa tukikuuliza idaidi ya shule zasekondari na primary zilizopo jimboni mwako ukawa hujui

  • Utachekesha kama Mbunge unasisitiza Itikadi ya chama wakati hujui idadi ya madaktari walimu au wanafunzi waliopo jimboni mwako

Je muheshimiwa mbunge toka upate ubunge unaweza kutupa japo takwimu zozozte chache za jimbo lako?

ndugu..... mbona unauliza as if alichokiandika ndio everything in his brain?............. hata wewe haya maswali yaliyoko hapa sio everyquestion you have......... you can discuss his agenda or not, the choice is yours................

hizo takwimu zikiletwa zinakanyagwa kama takataka............ zisipoletwa mnazidai!!.............. dah, kwa kweli baadhi ya wanaJF ni sooo...........
 
Mkuu,

Watu tuliowengi tumejaribu kumweleza huyu jamaa kuwa ..kweli inawezekana anayo wish list nzuri..lakini hiyo siyo wanayoitaka CCM Kwa hiyo, hakuna mtu ndani hicho chama (hasa wale viongozi wa juu) anayeweza kuuunga mkono hoja zake kwa kuzichukua na kuzifanyia kazi. CCM imebaki kama kikundi cha mafia na kila mtu anaangalia tumbo lake na anakula kwa urefu wa kamba yake. Katika mazingira hayo, jambo lolote linalolenga kuziba mianya ya hao wenye kiu ya kula kama vile hawatakufa halina nafasi mbele yao. Labda aje atueleze yeye atawezaje kuyafanya hayo ambayo hata babu zake walionza na TANU wamenyoosha mikono!

hapana mkuu, tusikate tamaa kiasi hiki............. mh anajaribu na naamini hata kama wengine wameshindwa, bado anayo sababu ya kujaribu.............. unajua kila kitu kinaeza kubadilika ukija wakati muafaka na mazingira muafaka........... mi naendelea kuamini kuwa iko ccm itajibu kiu ya watanzania wengi wanaoamini kuwa itabadilika na siamini kama mwisho wake utakuwa kama wa kanu ama unip......... ccm inazo strategy za kusurvive longer than those old gangs........ hao wazee wa tanu mi nafikiri wanashindwa tu kusoma alama za nyakati na wengi wao wanapaswa kupumzika moja kwa moja katika siasa kwani hata mawazo ao si compartible na wakati wetu......... wengi hawana ujasiri na wanasema ili kujipatia umaarufu na kujihakikishia kuendelea kuwa posted kwenye media............ true heroes are there in ccm... lets wait and see..........
 
jamani nawashukuruni sana nyote kwa kuchangia

hakika CCM itavuka salama changamoto zote
KIDUMU CHAMACHA MAPINDUZI
 
Kigumu kimemshinda makambale,ila ungepeleka daily news ingelipa sana sio hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom