CCM Itateua Mgombea wake wa Urais kutoka Zanzibar

Tulimteua Mwinyi kuwa mgombea baada ya Nyerere kustaafu. Alifanya nini kusaidia kuimarisha mwungano? Nduhu!
Hivyo jasusi ni mdogo wewe kiumri wa kujuwa alifanya nini?
-Aliondowa pasi za kusafiria na kujaza watu wa bara Zanzibar kinyume na alichofanya Nyerere kuwajaza Wazanzibari bara!
-Alilazimisha vyama vya siasa viwe vya pande zote na kama si yeye basi kusingekuwa na CUF bara
- Aliwadanganya Wazanzibari kuwa ni sehemu ya Muungano kwa kuliuwa Azimio la Arusha na kuzaa lile la Zanzibar huku karume alisema mwisho Chumbe.
- Alianzisha mtindo wa kuwafanya viongozi wa ZanZibar kujenga makazi Bara kiasi kwamba kila Kiongozi wa Zanzibar basi amejenga Bara

Bado unataka orodha ya aliyofanya Mwinyi kwa ajili ya Muungano?
 
wazanzibari wanajisikia kuwa wazanzibari zaidi ya kuwa watanzania, na hili linafahamika vizuei na kila mru. hilo ni tatizo katika muungno huu na ikitokea ccm wamemsimamisha mzanzibari kuwa mgombea urais wa JMT, basi hakutakuwa na ubishi kuwa ccm watakuwa wamekubali kwa hiyari yao kukabidhi dola kwa wapinzani wao!
 
Ni kwanini Wanzanzibar watake kupendelewa si wagombee kama wengine. Vilevile Zanzibar is wana raisi wao!!! au kuna mtu kutoka bara anaweza kugombea uraisi wa Zanzibar hivyo Zanzibar hawaitaji uraisi kudumisha muungano ni sababu tu ambayo haina msingi. Demokrasia ya zamu ni democrasia ya umasikini.
Unasahau kuwa kuchaguliwa ni kupendelewa? Inabidi upendwe ndio uchaguliwe au una maana hao wa bara wanachukiwa ndio wakachaguliwa?
 
Hivyo jasusi ni mdogo wewe kiumri wa kujuwa alifanya nini?
-Aliondowa pasi za kusafiria na kujaza watu wa bara Zanzibar kinyume na alichofanya Nyerere kuwajaza Wazanzibari bara!
-Alilazimisha vyama vya siasa viwe vya pande zote na kama si yeye basi kusingekuwa na CUF bara
- Aliwadanganya Wazanzibari kuwa ni sehemu ya Muungano kwa kuliuwa Azimio la Arusha na kuzaa lile la Zanzibar huku karume alisema mwisho Chumbe.
- Alianzisha mtindo wa kuwafanya viongozi wa ZanZibar kujenga makazi Bara kiasi kwamba kila Kiongozi wa Zanzibar basi amejenga Bara

Bado unataka orodha ya aliyofanya Mwinyi kwa ajili ya Muungano?
Ngekewa,
Nimekupata mkuu. Yametosha!
 
Dr salimin amor ni kipofu haoni sasa sijui ni nchi ya kusadikika ama
Kwani hao wenye macho yao hata nao wanaona? Mbona wanayosema ni tofauti na wanayotenda. Si bora huyo kipofu angalau atakuwa msikivu kuliko hao wenye macho hawaoni wala hawasikilizi wanayoambiwa!
 
wazanzibari wanajisikia kuwa wazanzibari zaidi ya kuwa watanzania, na hili linafahamika vizuei na kila mru. hilo ni tatizo katika muungno huu na ikitokea ccm wamemsimamisha mzanzibari kuwa mgombea urais wa JMT, basi hakutakuwa na ubishi kuwa ccm watakuwa wamekubali kwa hiyari yao kukabidhi dola kwa wapinzani wao!
Dada yangu mtu hata akiingia kwenye siasa hata kama baba yako usimwamini. Hao hao Wazanzibari wako waliotayari kusaliti kwa madaraka. Kwani UVCCM imetowa wagombea wangapi kutoka Zanzibar, jee ulitegemea kuwa Wazanzibari zaidi ya 20n watajitokeza kuwania hiyo nafasi?
 
Sababu ya Wazanzibari kutopenda Muungano au tuseme wananchi kutopenda Muungano ndiyo itakayosababisha CCM kuamua kuwapooza kwa kufanya rais wa nchi atoke Zanzibar.

Kwa sasa mtu mwenye personality ya kugombea urais wa jamhuri kutoka Zanzibar ni Dk Salim na kidogo Dk Shein, kama wakileta ujanja ujanja basi itakuwa ni blessing in disguise. Sio siri kuwa chama tawala kwa sasa kina tatizo kubwa ambalo litalipuka kuelekea 2015.

Lakini for sure baada ya hardtime ya sasa, 2015 anatakiwa aje mtu mwenye uwezo wa kutosha kuongoza taifa na mwenye kujua nini kinahitajika. Akiletwa kutoka Zanzibar, ambaye si mmoja wa hao wawili, itakuwa ni such a blessing in disguise.
 
Huyo bilali walimweka hapo kiaina nadhani atachukua usikanya
 
ccm wataanguka kiurahisi sana kama wataweka mgombea urahisi kutoka zanzibar.
hili likitokea kuanguka kwa ccm itakua kama kumsukuma mlevi. ccm wanatakiwa kua makini sana na mabadiliko ya kiasiasa yaliyopo nchini kwa sasa, mm nazani hawana taarifa na hali ilivyo kwa sasa.
kuna watu wachache sana ndani ya ccm ambao labda wakisimamimishwa wanaweza kufanya ccm ishinde kiurahisi na hii inatokana na uwezo wao kikazi. kwa mfano makufuli, mwakyembe au samweli sita.
 
Kwanza unge akcnowledge kwamba hayo uliyo-post umeyatoa kwenye gazeti la Raia mwema la 01/06/11. Raia mwema limeandika hii habari in detail.

Kwamba Rais JK, inasemekana tayari ana warithi wake mfukoni. 1. Dr. Asha-Rose Migiro na 2. Dr. Hussein Ally Mwinyi. Karata atakayotumia kwa Dr. Migiro ni kama ile aliyotumia kumuengua Sitta, kwamba sasa ni zamu ya wanawake, na Mwanamke mwenyewe ni Dr. Migiro.

Karata ya pili atakayotumia ni kama ile ya Nyerere aliyotumia kumuweka Mwinyi (ingawa Nyerere chaguo lake lilikuwa Dr. Salim Ahmed Salim lkn wazee wa mapinduzi wakamuzidi kete Nyerere), kwamba sasa ni zamu ya Wazanzibari ili kudumisha Muungano, Na mzanzibari huyo Dr. Mwinyi. (Nafikiri kwa hili Mtikila anachekelea)

Tunaomba iwe hivyo. CCM wafanye makosa hayo ya kumuleta Dr. Hussein kwani hapo kwa CDM itakuwa sawa na kusukuma MLEVI tena mlevi wa gongo.!

Tatizo la hao wateule wa Kikwete wote they are UNELECTABLE. Dr. Asha-Rose she is un popular kwenye NEC ya CCM, Dr. Mwinyi he is un popular to Tanganyikas, Chama chochote kusimamisha mgombea kutoka ZNZ wakati huu wa multi party sio mtaji, kuna u-nationalism umeshaanza kutuingia watanganyika kama wao wazanzibari. Mgombea wa JMT kutoka ZNZ is A BAD CARD kwa chama chochote.

Mwisho kabisa hao wateule wa Kikwete hawezi kuwashinikiza because Kikwete ame-loose control ya CCM na NEC hana tena VETO amebaki bendera fuata upepo.
 
Kwanza unge akcnowledge kwamba hayo uliyo-post umeyatoa kwenye gazeti la Raia mwema la 01/06/11. Raia mwema limeandika hii habari in detail.

Kwamba Rais JK, inasemekana tayari ana warithi wake mfukoni. 1. Dr. Asha-Rose Migiro na 2. Dr. Hussein Ally Mwinyi. Karata atakayotumia kwa Dr. Migiro ni kama ile aliyotumia kumuengua Sitta, kwamba sasa ni zamu ya wanawake, na Mwanamke mwenyewe ni Dr. Migiro.

Karata ya pili atakayotumia ni kama ile ya Nyerere aliyotumia kumuweka Mwinyi (ingawa Nyerere chaguo lake lilikuwa Dr. Salim Ahmed Salim lkn wazee wa mapinduzi wakamuzidi kete Nyerere), kwamba sasa ni zamu ya Wazanzibari ili kudumisha Muungano, Na mzanzibari huyo Dr. Mwinyi. (Nafikiri kwa hili Mtikila anachekelea)

Tunaomba iwe hivyo. CCM wafanye makosa hayo ya kumuleta Dr. Hussein kwani hapo kwa CDM itakuwa sawa na kusukuma MLEVI tena mlevi wa gongo.!

Tatizo la hao wateule wa Kikwete wote they are UNELECTABLE. Dr. Asha-Rose she is un popular kwenye NEC ya CCM, Dr. Mwinyi he is un popular to Tanganyikas, Chama chochote kusimamisha mgombea kutoka ZNZ wakati huu wa multi party sio mtaji, kuna u-nationalism umeshaanza kutuingia watanganyika kama wao wazanzibari. Mgombea wa JMT kutoka ZNZ is A BAD CARD kwa chama chochote.

Mwisho kabisa hao wateule wa Kikwete hawezi kuwashinikiza because Kikwete ame-loose control ya CCM na NEC hana tena VETO amebaki bendera fuata upepo.

Unayosema ni sawa taarifa hii imo katika gazeti la RAIA MWEMA Juni 1-juni7, 2011, mwandishi ameelezea kwa kirefu mikakati ya kuwapendekeza hao 1. Dr. Asha-Rose Migiro na 2. Dr. Hussein Ally Mwinyi
Lakini JK inaonekana ni mgumu wa kusoma alama za nyakati yatakayompata ni kama ya Alap Moi wa kenya
 
si ajabu hayo yakatokea,lakini nitawaona wanabusara wakimpa MAGUFULI.

maghufuli gani? yuleyule aliyeuza yumba za serikali, au mwingine? kama ni hivyo kwa maoni yangu heri basi wampe tu EL anagalau kuna atakaowapeleka mchaka mchaka na kuwatia akili vichwani mwao nchi kasonga mbele
 
Inawezekana kabisa kwa sasa kila mtu akaona haya si mawazo sahihi kwa sababu ya kusikika kwa akina Magufuli, Lowasa na Mwandosya. Suala la Muungano wa nchi yetu ni tete sana kwa sasa na litaendelea kuwa tete kadiri tunavyousogelea mwaka 2015.

CCM kwa sababu ya kuwaondoa hawa wanaotajwa tajwa kama walivyomfanyia Sitta katika ngazi ya Uspika kwa kudai kwamba ilikuwa zamu ya wanawake licha ya kuwa si jambo la kikatiba, basi hata katika urais watatengeneza zamu ya Zanzibar bila kujali katiba bali vikao vya chama. Lengo la kufanya hivyo itakuwa kuwakata kilimilimi hawa wabara wanaoutamani urais lakini pia kujaribu kuuimarisha Muungano ambao miongoni mwa sababu za kuteteleka ni Wazanzibari kutopata Urais wa Muungano.

UVCCM yalifanyika kwa kumtoa Nape na kumpa Masauni na mifano mingine ipo. Bisheni leo lakini unabii huu utatimia

Who cares, kinachojulikana ni kwamba 2015 ni Chadema itaongoza nchi.
 
Ikitokea akagombea mzanzibar next gen. election, itakuwa ni ujasiri pekee atakaouonesha JK hadharani tangu azaliwe.

Haiwezekani kitu kama hiki kutokea kwa hali ya sasa:
1. Wazanzibar wana Rais wao na hata hawataki muungano hivyo itakuwa ni kupoteza muda kuwapa nafasi ya kugombea ambayo hata hawana haja nayo na ujue hii ndo kosa kubwa watakalofanya CCM na ndo Urais tena itakuwa basi
2. CCM inajua kundi linaloweza kuwapa kura ni wanawake hivyo bila kumung'unaya maneno mgombea wa wa CCM is very likely akawa Mama na watu walishaanza kumtaja. Huyu pekee ndo anaweza kupata kura za wamama angalau. Hakuna cha magufuli,wala nini mambo yatakuwa kama ya Spika wa bunge subirini muone otherwise CCM haina mgombea wa maana zaidi.
 
itakuwa jambo jema sana wakimchagua Mzenj kuwa mgombea urais. Na mimi napendekeza kati ya hawa wafuatao. Salmin Amour (Dr), Shein (Dr) au Nohaza Vuai last but least Babu msaidizi wa kikwete.

Tuwapambanishe na Dr wa Ukweli.
Kwa nini utaje viongozi wa ccm wengine kutoka vyama vya siasa hukutaka kutaja,umejidhihirisha dhahili kuwa wewe ni mekeretwa,kwa jina jengine tunaita chongooo,yaani ya kwamba jicho moja unaona moja huoni,,,

Sizani kama atateuliwa mzanzibari kuwa ndio mgombania wa urais,na hata akiteuliwa basi sio mzanzibari mwenye asili ya zanzibar,bali atatukuzwa tu kama mzanzibari kumbe sie ispokuwa ameishi zanzbar tu.

Ikiwa kweli wanataka kudumisha muungano basi wasingelifuta kiti cha umakamo wa rais wa muungano,yaani raisi wa zanzbar kuwa ndio makamo wa rais wa jamuhuri ya muungano.

Sasa hivi makamo wa raisi anateuliwa kichama,yaani mgombea mwenza munatia,jee anaitetea vipi zainzia katika muungano ? Wakati inavyotakiwa makamo awe rais wa zanzbar kama makubaliano ya muungano ?

Hivi sasa hakuna muungano wa pande hizi mbili,mbali kuna muungano wa chama tu cha ccm,yaani TANU na ASP basi,na vyama hivi vikivunjia muungano hakuna tena.
 
Back
Top Bottom