CCM itameguka mapande makubwa kabla ya uchaguzi

CCM itameguka mapande makubwa kabla ya uchaguzi

u
WanaCCM naomba mjiandae Kimwili na KIROHO kwani Chaguzi zinazoendelea hivi sasa hazitakiacha Chama salama.Tukumbuke ccm mpya inajengwa je wenye CCM yao wanasemaje? NATABIRI "CCM MAPANDE MAPANDE KABLA YA 2020.
nadhani utasubili sana tu.
 
Kikwete na kinana unawaweka wapi?
CCM, iko imara wapo maprofesa wa siasa akina, Waryoba, Butiku, Mangula ( KGB),Mkapa, Msuya, Malecela,msekwa, Salumin Amour (komando) plus invisible advisor ambao ni hatari zaidi ya Kikwete na Kinana, Kumbuka hata Kikwete mwenyewe nchi ilitaka kumshinda alipomuuliza mkapa nitafanyaje akaambiwa mfate Mzee Mangula, huyu mzee huwa haongei sana lkn uliza hata upinzani wanamuogopa nani ccm watakwambia Mzee Mangula
 
WanaCCM naomba mjiandae Kimwili na KIROHO kwani Chaguzi zinazoendelea hivi sasa hazitakiacha Chama salama.Tukumbuke ccm mpya inajengwa je wenye CCM yao wanasemaje? NATABIRI "CCM MAPANDE MAPANDE KABLA YA 2020.
Wewe si wa kwanza na wala si Mara ya kwanza kusikia unabii huu.

Rudi ukajipange, uandike upya.

Na pia endelea kuisoma namba.
 
CCM, iko imara wapo maprofesa wa siasa akina, Waryoba, Butiku, Mangula ( KGB),Mkapa, Msuya, Malecela,msekwa, Salumin Amour (komando) plus invisible advisor ambao ni hatari zaidi ya Kikwete na Kinana, Kumbuka hata Kikwete mwenyewe nchi ilitaka kumshinda alipomuuliza mkapa nitafanyaje akaambiwa mfate Mzee Mangula, huyu mzee huwa haongei sana lkn uliza hata upinzani wanamuogopa nani ccm watakwambia Mzee Mangula
Umenifanya nitabasamu nusura ya kucheka kwa nguvu ndani ya ofisi ya watu.

Nimefika kwa mzew mangula, kifupi "nampend mpaka huwa natamani kungali kuwa na uwezo wa kuhamishiana miaka, ningali mwongezea japo 6 ya ujana wangu"
 
CCM, iko imara wapo maprofesa wa siasa akina, Waryoba, Butiku, Mangula ( KGB),Mkapa, Msuya, Malecela,msekwa, Salumin Amour (komando) plus invisible advisor ambao ni hatari zaidi ya Kikwete na Kinana, Kumbuka hata Kikwete mwenyewe nchi ilitaka kumshinda alipomuuliza mkapa nitafanyaje akaambiwa mfate Mzee Mangula, huyu mzee huwa haongei sana lkn uliza hata upinzani wanamuogopa nani ccm watakwambia Mzee Mangula
Mkuu naomba historia fupi ya huyu mzee Philip Mangula huwa natamani sana kumfahamu zaidi[emoji120]
 
CCM, iko imara wapo maprofesa wa siasa akina, Waryoba, Butiku, Mangula ( KGB),Mkapa, Msuya, Malecela,msekwa, Salumin Amour (komando) plus invisible advisor ambao ni hatari zaidi ya Kikwete na Kinana, Kumbuka hata Kikwete mwenyewe nchi ilitaka kumshinda alipomuuliza mkapa nitafanyaje akaambiwa mfate Mzee Mangula, huyu mzee huwa haongei sana lkn uliza hata upinzani wanamuogopa nani ccm watakwambia Mzee Mangula
Hawa uliowataja hakuna jipya nchi inaongozwa kwa kutiana hofu bado wamekaa kimya.
Ukija ktk mamilioni ya katiba ndo watu wanawaangalia.
Yaani tupo ktk sintofahamu
 
Ccm kwa sasa ipo madarakani kwa hisani ya vyombo vya usalama lkn sio kwa ridhaa ya wananchi kwani kinatangazwa mshindi kutokana na chaguzi za hovyo, "Bungled Elections", zenye viwango vya chini kabisa ktk viwango vya kimataifa.
 
WanaCCM naomba mjiandae Kimwili na KIROHO kwani Chaguzi zinazoendelea hivi sasa hazitakiacha Chama salama.Tukumbuke ccm mpya inajengwa je wenye CCM yao wanasemaje? NATABIRI "CCM MAPANDE MAPANDE KABLA YA 2020.
TUMESHAWAZOEA UONGO KAZINI
 
Ccm kwa sasa ipo madarakani kwa hisani ya vyombo vya usalama lkn sio kwa ridhaa ya wananchi kwani kinatangazwa mshindi kutokana na chaguzi za hovyo, "Bungled Elections", zenye viwango vya chini kabisa ktk viwango vya kimataifa.
NDIYO UMEAMKA NA UONGO HUU?
 
WanaCCM naomba mjiandae Kimwili na KIROHO kwani Chaguzi zinazoendelea hivi sasa hazitakiacha Chama salama.Tukumbuke ccm mpya inajengwa je wenye CCM yao wanasemaje? NATABIRI "CCM MAPANDE MAPANDE KABLA YA 2020.
Asante kwa ramli,kashindwa lowassa kuikata ccm itakua uchaguzi wa ndani uliojaa demokrasia?
 
Lakini chama hiki kina historian ya kupita katika vipindi vigumu na vya misukosuko mikubwa mwisho wa siku kina kaa sawa na wanaendelea. Tokea enzi wanafukuzwa uongozi kina Aboud Jumbe watu wakadhani Afro Shirazi inarudi CCM inameguka lakini wapi, ikaja walipofukuzwa kabisa uwanachama kina Seif Sharif Hamad, Juma Dunia Haji, Hamad Rashid na wenzao pamoja na nguvu waliokua nayo lakini CCM ikakaa sawa. Kina Jenerali Ulimwengu, Njelu Kasaka na wenzao katika movement ya G55 napo pia wakapita salama!
Nyakati za uchaguzi mkuu kupata mgombea wa CCM nafasi ya uraisi nadhani pia hua ni kipindi kigumu sana kwao lakini meli yao inapita katika dhoruba hizo na kuibuka ufukweni salama! Mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa lakini ukweli ki oganaizesheni CCM wapo vizuri kupita maelezo! Misukosuko inayokipata ingekua chama kingine chochote hapa nchini ingekua ni historia na tungesha kisahau
Hiki Chama kinaongozwa kinafiki Sana, Wenye madaraka wamekigeuza Kama mali yap wakitumia nguvu za DOLAN, ila wasio name nguvu wamebaki kupiga makofi tu
 
Hata kipindi Lowasa anaondoka mlisema hivyo lkn ndo ccm inazidi kuwa imara
Uimara wa ccm ni upi? Imekuwa dhaifu haiwezi hata kufanya siasa siku hizi inajificha kwenye kwapa la polisi na hafla za kiserikali mfano tukio la juzi Arusha.CCM inapumua kwa msaada wa dola
 
Uimara wa ccm ni upi? Imekuwa dhaifu haiwezi hata kufanya siasa siku hizi inajificha kwenye kwapa la polisi na hafla za kiserikali mfano tukio la juzi Arusha.CCM inapumua kwa msaada wa dola
Ukitaka kujua uimara wa ccm uliza Mbowe atakwambia au Lowasa aliyesema hakuna wa kunikata ccm akakatwa
 
WanaCCM naomba mjiandae Kimwili na KIROHO kwani Chaguzi zinazoendelea hivi sasa hazitakiacha Chama salama.Tukumbuke ccm mpya inajengwa je wenye CCM yao wanasemaje? NATABIRI "CCM MAPANDE MAPANDE KABLA YA 2020.
Huwezi kuiondoa CCM hata ikibaki vipande vipande sababu inashikilia dola.Muulize mzee Kingunge CCM waliapa kutawala miaka elfu kwa gharama zozote.
Inaweza kuondoka tu,kwa kuunda serikali ya mpito kwanza itakayoongozwa na mchanganyiko wa watu au vikundi mbali mbali,kuelekea uchaguzi mkuu, baada ya kupitishwa katiba mpya.
Kwa hali ya kawaida CCM hawawezi kukupa nafasi hiyo.
Hayo mabadiliko ya vyama vingi ni kiini macho tu.Ndio maana hawana wasiwasi wameshikilia mpini.
Tumewaona wangapi waliojipambanua kuwa ni wapinzani mahili lakini walinaswa katika tundu bovu UNFAIR PLAY.Wakaishia kukata tamaa na kujirudisha CCM sababu ya njaa za kupangwa.
Wakati mwingine ukweli unauma lakini utabakia ukweli.
 
Back
Top Bottom