Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
Wewe acha hizo fikra za kifinyu.
Kunafaida zipi umezipata kuwepo CHADEMA?
Naomba uwe mkweli. na unijibu.
Fikra za kifinyu ndio zipi? Faida za kuwepo CHADEMA ni hizi (na baadhi tu na si kwa faida yangu binafsi tu bali kwa TAIFA zima):
- Ufisadi haufanyiki bila uoga kama zamani
- Mikataba si siri tena, watu tuna uwezo wa kuipitia
- Sheria za kipuuzi zimelazimika kujadiliwa upya (rejea mchakato wa katiba mpya).
Unalo jingine?