Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 724
bila ccm wewe usingekuwa unaongea haya maana imekupa uhuru wa kuongea lolote unalotaka.
sasa kwa kuwa wewe hutumii akili vizuri unaonakama wewe unaweza kuliko wao. Ccm is better than chadema
ni tahaahira pekee anayeweza kukuunga mkono he! Yaani ccm inanipa uhuru wa kuongea kivip?