PreGE2025 CCM Iringa: Watiania wanaojipitisha majimboni kabla ya muda waambieni tutawafyeka

PreGE2025 CCM Iringa: Watiania wanaojipitisha majimboni kabla ya muda waambieni tutawafyeka

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Iringa vijijini kupitia kwa Katibu wake Sure Mwasanguti wametoa onyo kali na la mwisho kwa baadhi ya watia Nia wa nafasi ya Udiwani na Ubunge wanaojipitisha katika Kata na Majimbo na kujitangaza na kuomba ushawishi kwa wajumbe kabla ya muda kutangazwa.

Mwasanguti ametoa onyo hili akiwa ukumbi wa Siasa ni kilimo uliopo Manispaa ya Iringa akiwa katika kikao maalumu na wajumbe wa jumuiya ya Wazazi pamoja jumuiya ya Wanawake wa chama hicho kutoka Jimbo la Kalenga na Jimbo la isimani.

Soma Pia: Iringa: Matukio Yanayojiri Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025

"Hata Yesu alihubiri Duniani na Kuzimu ili ujumbe ufike kote hivyo hili ni onyo la mwisho muda bado haujatangazwa waacheni viongozi wafanye kazi msiwape 'Presha' bado hawajamaliza muda wao hapa tuna wabunge wawili tu Williams Lukuvi wa Isimani na Jackson Kiswaga wa Kalenga basi hao wanaojipitisha waambieni tutawafyeka" Alisisitiza Mwasanguti

Snapinst.app_476972471_18302603026226150_7398437356011395031_n_1080.jpeg
Snapinst.app_476570779_18302603044226150_3251962687743987847_n_1080.jpeg
 
Kazi ni kupata hiyo nafasi, ila kwenye uchaguzi serikali itawasaidia kuiba kura, so walogane na wauane kwenye mchakato wa ndani
 
Mbona kuna Mwenyekiti kajipitisha kabla hata ya muda rasmi wa kufungua dirisha la usajili kuanza na hamumfanyi kitu!!??
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Iringa vijijini kupitia kwa Katibu wake Sure Mwasanguti wametoa onyo kali na la mwisho kwa baadhi ya watia Nia wa nafasi ya Udiwani na Ubunge wanaojipitisha katika Kata na Majimbo na kujitangaza na kuomba ushawishi kwa wajumbe kabla ya muda kutangazwa.

Mwasanguti ametoa onyo hili akiwa ukumbi wa Siasa ni kilimo uliopo Manispaa ya Iringa akiwa katika kikao maalumu na wajumbe wa jumuiya ya Wazazi pamoja jumuiya ya Wanawake wa chama hicho kutoka Jimbo la Kalenga na Jimbo la isimani.

Soma Pia: Iringa: Matukio Yanayojiri Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025

"Hata Yesu alihubiri Duniani na Kuzimu ili ujumbe ufike kote hivyo hili ni onyo la mwisho muda bado haujatangazwa waacheni viongozi wafanye kazi msiwape 'Presha' bado hawajamaliza muda wao hapa tuna wabunge wawili tu Williams Lukuvi wa Isimani na Jackson Kiswaga wa Kalenga basi hao wanaojipitisha waambieni tutawafyeka" Alisisitiza Mwasanguti

View attachment 3231030View attachment 3231031
Hii ni season kwa wajumbe.
 
Mtu anaenyoa ndevu hafu anaacha mustach kama Hitler sijui namuonaje.
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Iringa vijijini kupitia kwa Katibu wake Sure Mwasanguti wametoa onyo kali na la mwisho kwa baadhi ya watia Nia wa nafasi ya Udiwani na Ubunge wanaojipitisha katika Kata na Majimbo na kujitangaza na kuomba ushawishi kwa wajumbe kabla ya muda kutangazwa.

Mwasanguti ametoa onyo hili akiwa ukumbi wa Siasa ni kilimo uliopo Manispaa ya Iringa akiwa katika kikao maalumu na wajumbe wa jumuiya ya Wazazi pamoja jumuiya ya Wanawake wa chama hicho kutoka Jimbo la Kalenga na Jimbo la isimani.

Soma Pia: Iringa: Matukio Yanayojiri Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025

"Hata Yesu alihubiri Duniani na Kuzimu ili ujumbe ufike kote hivyo hili ni onyo la mwisho muda bado haujatangazwa waacheni viongozi wafanye kazi msiwape 'Presha' bado hawajamaliza muda wao hapa tuna wabunge wawili tu Williams Lukuvi wa Isimani na Jackson Kiswaga wa Kalenga basi hao wanaojipitisha waambieni tutawafyeka" Alisisitiza Mwasanguti

View attachment 3231030View attachment 3231031
Wabunge wa ccm wanateuliwa na viongozi wa Kitaifa, katibu wa Wilaya wala Mkoa hana mamlaka hiyo, ni porojo tu, wakubwa wakitaka watu wao hakuna wa kuzuia
 
Huyo mwasanguti ni mtu wa mikwara toka akiwa kinondoni.
Tushamzoea
 
Back
Top Bottom