Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 4,663
- 4,161
Watu hawataki tu lakini hakika nakuambia akisimama Magufuli CCM watakuwa wamemaliza uchaguzi wabaki kwenye kulumbana wenyewe kwa wenyewe.
CCM ina majembe!
LAKINI CHA MSINGI ZAIDI NI:
1) MAKUNDI KUFANYA KAMPENI ZAO KISTAARABU BILA KUCHAFUANA!
2) UONGOZI WA JUU KUWA 'NEUTRAL' NA KUTOA 'FULL DEMOCRACY' KWA WAGOMBEA WOTE NA BILA KUMUWEKEA YEYOTE VIKWAZO VYA KI'1947'!
3) WATARAJIWA WOTE KUMKUBALI ATAKAYEPITA NA KUMUUNGA MKONO 100% KWENYE KINYANGANYIRO KINACHOFUATA.
NB: MPAKA SASA ANANG'AA ZAIDI EDWARD LOWASSA , NA HILI PENDEKEZO LA JEMBE MAGUFULI NALO POA VILEVILE! LAKINI, 'MAGAMBA' WENZANGU, CHA MSINGI NI CHAMA KWANZA NA MENGINE YATAFUATA!
TUSIJIDANGANYE, TANZANIA BILA CCM ITAYUMBA!