CCM inazo sababu zote za kuendelea kujivua gamba!

meningitis

JF-Expert Member
Nov 17, 2010
8,349
4,674
Kabla ya uchaguzi wa 2015 CCM ilikuwa na sababu nyingi (siozote) za kuweza kutekeleza maazimio ya vikao vyake hasa hasa kwenye issue ya kujivua gamba.

Sababu kubwa ya CCM kusita kujivua gamba wakati ule karibia na uchaguzi ilikuwa ni hofu ya chama kumeguka ...sababu hii haina mashiko tena kwani hata lile gamba gumu CCM waliweza kulibandua bila madhara makubwa...

sasa ni wakati muafaka kwa CCM kuendelea na opresheni maalum ya kujivua gamba ikiwa bado ni mapema...

Wengi wa wanaharakati weledi wamekuwa ni pro CCM Kwa kuwa tu CCM ilithubutu kuling'oa gamba kuu bila madhara yoyote lakini ni ukweli usiopingika kuwa bado CCM haijamaliza kazi nzitto ya kuyaondoa magamba yote...

Huu ni ushauri ru kwa CCM kwamba sisi wananchi tuliwahurumia kwa muda kwani at least waliweza kuliondoa gamba kuu...lakini hiyo sio gurentee kuwa magamba ndani ya CCM YAMEISHA...

BASI chonde chonde ili pro ccm tuendelee kuwa pro ccm ni vyema zoezi la kujivua gamba liendelee kwa kasi ya utumbuaji majipu...!

Huu ni ushauri kutoka kwa pro CDM aliyebadilika kuwa pro CCM mwaka 2015!
 
Kabla ya uchaguzi wa 2015 CCM ilikuwa na sababu nyingi (siozote) za kuweza kutekeleza maazimio ya vikao vyake hasa hasa kwenye issue ya kujivua gamba.

Sababu kubwa ya CCM kusita kujivua gamba wakati ule karibia na uchaguzi ilikuwa ni hofu ya chama kumeguka ...sababu hii haina mashiko tena kwani hata lile gamba gumu CCM waliweza kulibandua bila madhara makubwa...

sasa ni wakati muafaka kwa CCM kuendelea na opresheni maalum ya kujivua gamba ikiwa bado ni mapema...

Wengi wa wanaharakati weledi wamekuwa ni pro CCM Kwa kuwa tu CCM ilithubutu kuling'oa gamba kuu bila madhara yoyote lakini ni ukweli usiopingika kuwa bado CCM haijamaliza kazi nzitto ya kuyaondoa magamba yote...

Huu ni ushauri ru kwa CCM kwamba sisi wananchi tuliwahurumia kwa muda kwani at least waliweza kuliondoa gamba kuu...lakini hiyo sio gurentee kuwa magamba ndani ya CCM YAMEISHA...

BASI chonde chonde ili pro ccm tuendelee kuwa pro ccm ni vyema zoezi la kujivua gamba liendelee kwa kasi ya utumbuaji majipu...!

Huu ni ushauri kutoka kwa pro CDM aliyebadilika kuwa pro CCM mwaka 2015!
nasikia harufu ya bange
 
"Huu ni ushauri kutoka kwa pro CDM aliyebadilika kuwa pro CCM mwaka 2015!"
..Mkuu uliPachuka?..Kujivua gamba. Mukama yu wapi? Nnakumbuka gamba la Mtemi liliishia kiunoni... Sijui JPJM akipewa Rungu la Unyekiti atayapukutisha vipi magamba....Huenda CCM ikasafika....
 
"Huu ni ushauri kutoka kwa pro CDM aliyebadilika kuwa pro CCM mwaka 2015!"
..Mkuu uliPachuka?..Kujivua gamba. Mukama yu wapi? Nnakumbuka gamba la Mtemi liliishia kiunoni... Sijui JPJM akipewa Rungu la Unyekiti atayapukutisha vipi magamba....Huenda CCM ikasafika....
Mkuu ni kama vile umeielewa mada yangu...Tunasubiri JPJM atakapopewa rungu la Chama atafanyaje...to acomplish the started mission!
 
"Huu ni ushauri kutoka kwa pro CDM aliyebadilika kuwa pro CCM mwaka 2015!"
..Mkuu uliPachuka?..Kujivua gamba. Mukama yu wapi? Nnakumbuka gamba la Mtemi liliishia kiunoni... Sijui JPJM akipewa Rungu la Unyekiti atayapukutisha vipi magamba....Huenda CCM ikasafika....
ha ha ha
 
Back
Top Bottom