johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,048
- 142,160
Huo ndio Ukweli hakuna cha wizi wa kura wala nini
Vyama vya Upinzani hata kuweka Wagombea nusu tu ya Majmbo yote nchini hawawezi halafu wanatamba eti bila Polisi ndio wataishinda CCM
Upinzani uko Zanzibar huku Tanganyika tuendelee tu kudanganyana.ila bado saaana!
Vyama vya Upinzani hata kuweka Wagombea nusu tu ya Majmbo yote nchini hawawezi halafu wanatamba eti bila Polisi ndio wataishinda CCM
Upinzani uko Zanzibar huku Tanganyika tuendelee tu kudanganyana.ila bado saaana!