Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,796
Ni kama boma lililoshambuliwa kila upande, waliomo ndani yake hawajui wajibu vipi mapigo ..basi wanajikuta wanapoteana na kuchanganyikiwa kabisa...Ni kama chizi ambaye dishi limeyumba kidogo.
Hii counter attack ya mapigo matatu ndani ya muda mfupi imewafanya makada wapoteane kwakuwa kila pigo halikutegemewa na limepiga penyewe.
Pigo la kwanza lilikuwa shambulizi la watu waitwao wajumbe..kwenye uchaguzi wa watia nia waliokuwa wanaomba ridhaa ya kuchaguliwa kupeperusha bendera ya chama kwenye uchaguzi mkuu ujao ngazi ya ubunge na udiwani...ukiacha matumizi makubwa na ya wazi kwenye rushwa, wajumbe walitoa kipigo cha mbwamwizi kwa watu walichukuliwa kuwa na nguvu kubwa na ushawishi ndani ya chama.
Pigo la pili ni kifo cha ghafla cha rais mstaafu mzee Benjamin William Mkapa..huyu ndio pekee alikuwa anachukuliwa kama muokoa jahazi na nguzo imara pekee iliyokuwa imebaki CCM.
Taharuki imekuwa kubwa mpaka taratibu kadha za kuujulisha umma zikakiukwa huku makada wakifikia hatua za kutoaminiana na kuhoji mambo kadhaa kwenye kifo cha mzee Mkapa.
Pigo la tatu ni ujio wa Lissu..hili limepiga penyewe haswa..ukisoma post za makada kabla na baada ya jana unaishia kucheka tu...kwa hakika hawakutegea kabisa kama Lissu atarudi na kama akirudi walidhani atapokewa airport na bangili huku walioenda kumlaki wakiishia virungu na vipigo na kukamatwa...hakuna lililotokea hata moja kati ya hayo.
Muda huu wako busy kuandika mada za kulialia na kuhoji hili na lile..bado hawaamini kabisa kile kilichotokea jana.
Makada wana kihoro kikubwa..kuna kila dalili kuwa kuna mapigo mengine mane yanakuja ili yatimie mapigo saba...SEMA MAPIGO SABA...!!!
Makada je mnajua tofauti ya shimo na tundu? Naamini kwasasa hamuwezi kujibu ila nitawasaidia
Shimo lina kina...tundu halina kina...shimo la tewa ..tundu la sindano...je ccm imegeuka kuwa shimo!? Kumbuka hata kaburi ni shimo...lakini la wafu...Poleni sana makada.!!
Jr
Hii counter attack ya mapigo matatu ndani ya muda mfupi imewafanya makada wapoteane kwakuwa kila pigo halikutegemewa na limepiga penyewe.
Pigo la kwanza lilikuwa shambulizi la watu waitwao wajumbe..kwenye uchaguzi wa watia nia waliokuwa wanaomba ridhaa ya kuchaguliwa kupeperusha bendera ya chama kwenye uchaguzi mkuu ujao ngazi ya ubunge na udiwani...ukiacha matumizi makubwa na ya wazi kwenye rushwa, wajumbe walitoa kipigo cha mbwamwizi kwa watu walichukuliwa kuwa na nguvu kubwa na ushawishi ndani ya chama.
Pigo la pili ni kifo cha ghafla cha rais mstaafu mzee Benjamin William Mkapa..huyu ndio pekee alikuwa anachukuliwa kama muokoa jahazi na nguzo imara pekee iliyokuwa imebaki CCM.
Taharuki imekuwa kubwa mpaka taratibu kadha za kuujulisha umma zikakiukwa huku makada wakifikia hatua za kutoaminiana na kuhoji mambo kadhaa kwenye kifo cha mzee Mkapa.
Pigo la tatu ni ujio wa Lissu..hili limepiga penyewe haswa..ukisoma post za makada kabla na baada ya jana unaishia kucheka tu...kwa hakika hawakutegea kabisa kama Lissu atarudi na kama akirudi walidhani atapokewa airport na bangili huku walioenda kumlaki wakiishia virungu na vipigo na kukamatwa...hakuna lililotokea hata moja kati ya hayo.
Muda huu wako busy kuandika mada za kulialia na kuhoji hili na lile..bado hawaamini kabisa kile kilichotokea jana.
Makada wana kihoro kikubwa..kuna kila dalili kuwa kuna mapigo mengine mane yanakuja ili yatimie mapigo saba...SEMA MAPIGO SABA...!!!
Makada je mnajua tofauti ya shimo na tundu? Naamini kwasasa hamuwezi kujibu ila nitawasaidia
Shimo lina kina...tundu halina kina...shimo la tewa ..tundu la sindano...je ccm imegeuka kuwa shimo!? Kumbuka hata kaburi ni shimo...lakini la wafu...Poleni sana makada.!!
Jr