Kigongoi kwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2018
- 447
- 440
Kwamba, kwa sasa haiwezi kutawala peke yake, mawazo ya pekee kwa sasa hayana nguvu, Kwamba, upinzani umekua na utaendelea kukua na kwamba kutumia njia za kistaarabu ndio njia pekee ya kuienzi amani ya nchi na kwamba elimu ya wananchi kuhusu upinzani imeongezeka.
Kwamba hoja zinapaswa kujibiwa kwa hoja na wala sio kutumia vyombo vya dola kama alivyowahi kusema kiongozi mmoja wa chama hicho kwamba wanatumia privileges za dola kubaki madarakani.
Na kwamba kuna haja ya kukaa na upinzani na kushauriana njia sahihi za kufanya siasa kwa amani bila kuleta mpasuko wa Kitaifa au kuwa na chuki miongoni mwetu.
Nakumbuka Rais mstaafu Kikwete wakati wa awali wa maandalizi ya katiba ya Jaji Warioba alisema,ni bora kukaa pamoja na kujadili yanayotuhusu tukiwa pamoja, kuliko kutafuta umoja tukiwa tumetofautiana.
Nawasilisha
Kwamba hoja zinapaswa kujibiwa kwa hoja na wala sio kutumia vyombo vya dola kama alivyowahi kusema kiongozi mmoja wa chama hicho kwamba wanatumia privileges za dola kubaki madarakani.
Na kwamba kuna haja ya kukaa na upinzani na kushauriana njia sahihi za kufanya siasa kwa amani bila kuleta mpasuko wa Kitaifa au kuwa na chuki miongoni mwetu.
Nakumbuka Rais mstaafu Kikwete wakati wa awali wa maandalizi ya katiba ya Jaji Warioba alisema,ni bora kukaa pamoja na kujadili yanayotuhusu tukiwa pamoja, kuliko kutafuta umoja tukiwa tumetofautiana.
Nawasilisha