CCM inaogopa Katiba Mpya zaidi ya maambukizi ya COVID-19

Katiba inaipaje madaraka CHADEMA, kwani itakuwa na kifungu cha kuwa CHADEMA lazima itawale au unahisi itaweka fair ground kwa vyama vyote na kusababisha CHADEMA kushinda.
Kitakachotokea baada ya Katiba kuweka fair ground, baadae Chadema wakiweza kushika dola , wataichakachua tena Katiba kama walivyochakachua katiba ya Chama chao ili rais atakayetawala kwa wakati hasiwe na kikomo kama ilivyo uenyekiti wa Mbowe.
 
Hapa ndipo akili za kiumbe jeusi zinapotofautiana na wazungu!!yaani mnaona katiba ya kumpa madaraka mwananchi ni mbaya sana, bali ile ya kumfanya rais kama Mungu ndio nzuri!!halafu Mzungu akimuona mwafrika anatatizo kwenye uwezo wa kufikiri tunasemwa tunatukanwa!!
Wazungu ni mabwana zako? Kwamba wewe huna namna yako ya kufikiri iliyo huru hadi ulijilinganishe na mzungu, you are dumbass
 
Kitakachotokea baada ya Katiba kuweka fair ground, baadae Chadema wakiweza kushika dola , wataichakachua tena Katiba kama walivyochakachua katiba ya Chama chao ili rais atakayetawala kwa wakati hasiwe na kikomo kama ilivyo uenyekiti wa Mbowe.
Kwahiyo unachoogopa ni kwamba katiba mpya itaweka fair ground kwa vyama vyote, bora umekuwa muwazi kuliko kuwa mnafiki hivyo basi sina arguments zaidi.
 
Yaliyotokea Mwanza Leo ni ushahidi tosha kuwa CCM Chama kikongwe kiko Madarakani kwa miaka 60 kinaogopa kongamano la watu 200 TU zaidi ya Maambukizi ya COVID-19.

Nguvu iliyotumika kuzuia Kongamano kwa kushirikisha Polisi 300 ingetumika kusaka majambazi tanzania ingekuwa haina jambazi hata mmoja
great message
 
Yaliyotokea Mwanza Leo ni ushahidi tosha kuwa CCM Chama kikongwe kiko Madarakani kwa miaka 60 kinaogopa kongamano la watu 200 TU zaidi ya Maambukizi ya COVID-19.

Nguvu iliyotumika kuzuia Kongamano kwa kushirikisha Polisi 300 ingetumika kusaka majambazi tanzania ingekuwa haina jambazi hata mmoja.
Ni ukweli usiopingika ccm haitaki katiba mpya,inajua tukipata katiba mpya itakuwa rahisi kwao kuangushwa katika chaguzi
 
CHADEMA DAINI KATIBA YA CHAMA CHENU KATIBA YA WANANCHI ITALETWA NA WANANCHI WENYEWEEE.
Tunaposema umetolewa Ubongo ni kweli unaweza kutofautisha chadema na Wananchi? Tumia basi hata Akili za kuazima
20210716_160047.jpg


Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Wazungu ni mabwana zako? Kwamba wewe huna namna yako ya kufikiri iliyo huru hadi ulijilinganishe na mzungu, you are dumbass
Povu ruksa, lakini ukweli utabaki pale pale!!na nina kwambia hivi bila mzungu wewe na ukoo wako, msingeweza kutoboa (kuishi) hadi leo au kama mngefanikiwa mngeishi kwa tabu sana!!akili gani hizo za mtu akiwa kiongozi ndio anajiona kuwa ana akili kuliko wengine wote, na kweli misukule mingi inaona ndio ukweli wenyewe huo!!ni afrika tu ndio unakutana na prof, ambaye njaa tu inamuondolea akili yote ya kufikiri, na kuzidiwa na std seven, anayejitambua?
Yaani unaweza kukuta na wewe ni graduate lakini mwenye akili za ki mpimbi, unayedhania kuwa katiba mpya ni yakuifanya CDM, kutawala, ina maana kuwa hii iliyopo ina walinda CCM!!?sasa mawazo kama haya huwezi kumkuta hata MWEHU WA KIZUNGU, anayo!!
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Povu ruksa, lakini ukweli utabaki pale pale!!na nina kwambia hivi bila mzungu wewe na ukoo wako, msingeweza kutoboa (kuishi) hadi leo au kama mngefanikiwa mngeishi kwa tabu sana!!akili gani hizo za mtu akiwa kiongozi ndio anajiona kuwa ana akili kuliko wengine wote, na kweli misukule mingi inaona ndio ukweli wenyewe huo!!ni afrika tu ndio unakutana na prof, ambaye njaa tu inamuondolea akili yote ya kufikiri, na kuzidiwa na std seven, anayejitambua?
Yaani unaweza kukuta na wewe ni graduate lakini mwenye akili za ki mpimbi, unayedhania kuwa katiba mpya ni yakuifanya CDM, kutawala, ina maana kuwa hii iliyopo ina walinda CCM!!?sasa mawazo kama haya huwezi kumkuta hata MWEHU WA KIZUNGU, anayo!!
Mzungu ni nani kwako ?

Are you a lesser human being ?
 
Yaliyotokea Mwanza Leo ni ushahidi tosha kuwa CCM Chama kikongwe kiko Madarakani kwa miaka 60 kinaogopa kongamano la watu 200 TU zaidi ya Maambukizi ya COVID-19.

Nguvu iliyotumika kuzuia Kongamano kwa kushirikisha Polisi 300 ingetumika kusaka majambazi tanzania ingekuwa haina jambazi hata mmoja.
Ni ajabu kuwa Rais kapoteza uongozi (initiative) kabisa katika suala la katiba. Sijui ni kukosa washauri makini au vipi? Hili ni suala nyeti la wakati huu (agenda of the moment) baada ya kashkash iliyoletwa na ujio wa JPM katika awamu ya tano.

Hivyo, Rais SSH angejiweka sawa kwa kulidhibiti mwenyewe badala ya kuwaachia fursa CHADEMA. Mkakati mmoja wa kulivutia muda suala la katiba mpya ni kuunda kamati au tume nyingine kuangalia pale lilipokwama awamu ya nne, mkakati wa kulikwamua na kuandaa ratiba. Yeye mwenyewe angeamua kila hatua ichukue muda gani kulingana na matukio/ajenda nyingine na, hatimaye, angekuwa katika nafasi nzuri ya kushawishi rasimu ya mwisho (final draft) iweje na, hivyo kumiliki, mchakato mzima.

Sasa inakuwa aibu kwa CCM na Rais kuonekana wanaiogopa katiba mpya kuliko hata Covid-19. Yaani wanataka kuendelea kushabikia udikteta wa awamu ya tano kama ndio mkakati pekee wa kujihakikishia survival ya chama chao na kuendelea kushika madaraka kibabe. It's unsustainable. Si mkakati endelevu na unaweza kukibomoa chama chenyewe. Kwanza, sidhani kama wana jeuri na kipaji cha ajabu cha Magufuli. You can't fake that!

Halafu huu ujinga (ignorance) wa kuamini kuwa katiba mpya itawaingiza CHADEMA madarakani sijui unatoka wapi? Nimekutana na watu hata wenye PhD na vyeo vikubwa serikalini/sekta binafsi wanadai kwa jazba kabisa kuwa CHADEMA wameshashtukiwa kwamba wamenga'ng'ania katiba mpya ili waingie Ikulu; hawajali shida za wananchi! Bizarre! Yaani katiba mpya / Tume Huru vitawafanya Watanzania kuwa wajinga kiasi cha kupigia CHADEMA kura nyingi bila kuangalia ubora au uovyo wa chama na wagombea wake?
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Katiba ya kuwapa madaraka Chadema haiwez kuitwa katiba mpya
Hebu fafanua,Katiba ya wananchi inawapaje CHADEMA madaraka?Unathibitisha kuwa uhai wa CCM unatokana na uwepo wa Katiba chakavu?Je,huo siyo uthibitisho kuwa CCM ni waroho wakubwa wa madaraka bila uhalali na ridhaa ya Wananchi?
Hapa tunadai Katiba ya Wananchi wote wa Tanzania na siyo ya chama cha mapinduzi.Period!
 
Katiba ya kuwapa madaraka Chadema haiwez kuitwa katiba mpya
Hebu fafanua,Katiba ya wananchi inawapaje CHADEMA madaraka?Unathibitisha kuwa uhai wa CCM unatokana na uwepo wa Katiba chakavu?Je,huo siyo uthibitisho kuwa CCM ni waroho wakubwa wa madaraka bila uhalali na ridhaa ya Wananchi?
Hapa tunadai Katiba ya Wananchi wote wa Tanzania na siyo ya chama cha mapinduzi.Period!
 
Hebu fafanua,Katiba ya wananchi inawapaje CHADEMA madaraka?Unathibitisha kuwa uhai wa CCM unatokana na uwepo wa Katiba chakavu?Je,huo siyo uthibitisho kuwa CCM ni waroho wakubwa wa madaraka bila uhalali na ridhaa ya Wananchi?
Hapa tunadai Katiba ya Wananchi wote wa Tanzania na siyo ya chama cha mapinduzi.Period!
Tuingie road sasa
 
Hebu fafanua,Katiba ya wananchi inawapaje CHADEMA madaraka?Unathibitisha kuwa uhai wa CCM unatokana na uwepo wa Katiba chakavu?Je,huo siyo uthibitisho kuwa CCM ni waroho wakubwa wa madaraka bila uhalali na ridhaa ya Wananchi?
Hapa tunadai Katiba ya Wananchi wote wa Tanzania na siyo ya chama cha mapinduzi.Period!
Tuingie road
 
Ni ajabu kuwa Rais kapoteza uongozi (initiative) kabisa katika suala la katiba. Sijui ni kukosa washauri makini au vipi? Hili ni suala nyeti la wakati huu (agenda of the moment) baada ya kashkash iliyoletwa na ujio wa JPM katika awamu ya tano.

Hivyo, Rais SSH angejiweka sawa kwa kulidhibiti mwenyewe badala ya kuwaachia fursa CHADEMA. Mkakati mmoja wa kulivutia muda suala la katiba mpya ni kuunda kamati au tume nyingine kuangalia pale lilipokwama awamu ya nne, mkakati wa kulikwamua na kuandaa ratiba. Yeye mwenyewe angeamua kila hatua ichukue muda gani kulingana na matukio/ajenda nyingine na, hatimaye, angekuwa katika nafasi nzuri ya kushawishi rasimu ya mwisho (final draft) iweje na, hivyo kumiliki, mchakato mzima.

Sasa inakuwa aibu kwa CCM na Rais kuonekana wanaiogopa katiba mpya kuliko hata Covid-19. Yaani wanataka kuendelea kushabikia udikteta wa awamu ya tano kama ndio mkakati pekee wa kujihakikishia survival ya chama chao na kuendelea kushika madaraka kibabe. It's unsustainable. Si mkakati endelevu na unaweza kukibomoa chama chenyewe. Kwanza, sidhani kama wana jeuri na kipaji cha ajabu cha Magufuli. You can't fake that!

Halafu huu ujinga (ignorance) wa kuamini kuwa katiba mpya itawaingiza CHADEMA madarakani sijui unatoka wapi? Nimekutana na watu hata wenye PhD na vyeo vikubwa serikalini/sekta binafsi wanadai kwa jazba kabisa kuwa CHADEMA wameshashtukiwa kwamba wamenga'ng'ania katiba mpya ili waingie Ikulu; hawajali shida za wananchi! Bizarre! Yaani katiba mpya / Tume Huru vitawafanya Watanzania kuwa wajinga kiasi cha kupigia CHADEMA kura nyingi bila kuangalia ubora au uovyo wa chama na wagombea wake?
 
Hii argument ya kuwa lengo na madhumuni ya katiba mpya ni kuiweka CHADEMA madarakani sijaielewa vizuri.
1)Kwenye maoni ya katiba mpya kulikuwa na mapendekezo ya kwamba lazima CHADEMA ipigiwe kura kuanzia 50% + one vote ndivyo votes zitaku valid?
2)Katiba mpya itavuruga akili za wapiga na kuwafanya wapigie kura CHADEMA bila kujali umakini wa mgombea na kuacha kupigia chama chetu pendwa cha CCM tunachokipigia kura kila uchaguzi na kukifanya kiwe kinashinda kwa kishindo mara zote?
 
Back
Top Bottom