CCM ina wenyewe..

Kama ukipata muda naomba unisaidie kujijibu
 
Nimepiga kijiwe kimoja nimekuta jamaa wanafyonza balaaa...afu kwa mbali kuna ule wimbo wa Mabaga fresh unapigwa !!

CCM ina wenyewe !! Sukumba Gang ni kama Mabaga - Muda wa kutaabika ushawadia.

Hahahaha
 
"Kwahiyo sasa hivi tunalamba asali watoto wanasoma tunalamba asali, tunapata maji tunalamba asali, umeme tunapata, tunalamba asali, niliposema tutalamba asali sikukosea. Wenzangu hamlambii? Hamlambi asalii?" - Mzee Makamba

https://t.co/HjdvMUEewV
 
Your browser is not able to display this video.
 
Wale ng'ombe wasio na mikia bado wapo?
Jiwe Akisema Wakirejea Machungani Wenzao Watajua Hawana Mkia


Muda Umefika Kuanza Kuwatema

Nyani Katema Bungo Halafu Siyo Msimu Wa Maembe
Waliofika Bei Matumbo Moto
 

Wakuu kila siku iendayo kwa Mungu ndo inazidi kuwaonyesha kuwa hao CCM Ni baba lao kwenye Siasa. Vyama vya upinzani hucheza Ngoma yao. Hamna Pa kusimamia. Sasa Hivi Badala ya kufanya yenu na kumsahau JPM, nyie bado mnapambana na marehemu, hamjamove on. Then mnajiita Wapinzani .

Achaneni na habari zao. Jipangeni mjue mnachotaka. Mpaka 2025 mtajikuta mashambulizi yenu yalikuwa kwa marehemu mkasahau kujenga chama chenu. Haya maneno Mara Sukuma Gang, Mara bashiru yanawapotezea Dira na mnajikuta wanaccn bila kujua huku mna digital kadi ya CHadema. Mwisho wa siku mnakuja kusema mmeibiwa kura. Kumbe ujinga wenu wa kukadhana na matukio ya nyumba ya jirani na kusahau kusafisha ya kwenu.

Kipimo chenu kiwe ndani yenu. Anzeni kuandika sifa za chama na watu mnaohisi wana sifa za uongozi. Fanyeni kazi. Anzisheni hata vikundi vya maendeleo. Jiwekeni kwa wananchi bila kubeza yanayoendelea.

Then 2024 mnaanza kuonyesha nini Bora kwenu. Narudia acheni kuwapa attention CCM kwa kuwaandika andika kwa nia ya kupambana na Marehemu. Deep down mnateseka sana. You can not give what you do not have.
 
Jiwe Akisema Wakirejea Machungani Wenzao Watajua Hawana Mkia


Muda Umefika Kuanza Kuwatema

Nyani Katema Bungo Halafu Siyo Msimu Wa Maembe
Waliofika Bei Matumbo Moto
Nyani Katema Bungo Halafu Siyo Msimu Wa Maembe
 
Mpira ndio kwanza unarudi kwa kipa....

Nadhani wachezaji wajiandae kupangwa upya
 
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…