CCM ina wenyewe Mwita Mwikabe Waitara

CCM ina wenyewe Mwita Mwikabe Waitara

Kwa Tarime vijijini atachukua kiulani kwa sababu kuu mbili

1. Wananchi wamemchoka sana mbunge wao wa sasa (John Heche). Hivyo amelibaini hilo kwani wenyeji hao wana asili ya kuongozwa na mbunge kwa kipindi ki1.

1. Wenyeji wa huko wametawaliwa sana na ubaguzi wa koo. Hivyo ukitoka au ukiungwa mkono na koo kubwa kama Wairegi ni lazima ushinde. Mwita Waitara kama sikosei anatoka katika ukoo wa Wairegi.


Sent using Jamii Forums mobile app
Huko ni karibu na Kenya ndiyo maana kuna ujinga huu
 
Kuchamba kwingi , mwisho unaondoka na mavi. Waitara tayari kashika mavi ananuka wanamkimbia mchana bila kupepesa macho, wee mara chadema ukonga ubungo, ukaacha mara ccm ukaomba tena kazi hiyo hiyo umeshaharibuharibu kivule ukonga...sasa unataka ukawavuruge tarime ccm unaona kila sehemu ni wakutapeliwa kwa kujali ubinafsi na uoga wako wa maisha. Punguza anasa fanya shughuli nyingine
 
Vijana wa sasa wana uroho wa madaraka na tamaa sana za kupata mali kwa haraka. Imefikia sasa mtu yupo tayari hata kuua mwenzie ili tuu apate chochote kama vile yeye ataishi milele.

Kinacho sikitisha zaidi mambo haya yanafanywa na vijana wasomi ambao tulitegemea wangekuwa chachu ya Mabadiliko kwa kizazi hiki.

Chukulia mfano wa huyu jamaa Mwita Waitara. Aliaminiwa na watu wa Ukonga kupitia Chadema akapata Ubunge. Lakini akaachia ngazi na kisha akaomba tena kugombea jimbo lile lile alilo liacha kupitia CCM. Jambo hilo limeondoa kitu inaitwa Credibility yake kwa jamii. Na sasa ameanza kutapatapa akitafuta wapi atagombea mpka akaropoka kuwa anataka kugombea Tarime vijijini akapambane na John Heche wa Chadema.

Dhamira yangu ilikuwa kumuonesha Waitara CCM ina wenyewe. Mara baada bwana Waitara kutangaza nia Chama cha Mapinduzi Mkoani Mara wamesema watamuita ktk kamati ya Maadili kwa kukiuka maadili ya Chama kwa kutangaza kugombea kabla ya muda.

Wakati Waitara anaitwa Kuna kibibi fulani Betina kiko bize kinazurula na Misaraba huko Mbeya na hakuna wa kumghasi. Kile kibibi kinakusanya mpaka Wasanii na kuharibu hadi miundo mbinu ya CCM inayo waingizia pesa uwanja wa Sokoine.

Hakuna wa kumuita ktk kamati ya Maadili bnaa zaidi sana alisikika kiongozi mmoja akilalamika tuu kuwa tumekosa mapato na Mechi ya Yanga na Prison imepelekwa Iringa kutokana na uwanja kuharibiwa tunasikitika sana.

Wanasikitika hawana cha kufanya kwa kibibi kizee kile. Ila kwa Waitara wanaweza tena wamemuita ktk kamati ya Maadili. Hii ndio maana halisi ya CCM ina wenyewe. Vijana Makapuku acheni urofa ninyi CCM inawenyewe ninyi endeleeni kuwashangilia tuu wakipita na Ving'ora vyao eti na wewe unajiita Mwana ccm Damu.

Maendeleo hayana Vyamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Zipo tetesi kwamba wiki ijayo anavuliwa uwaziri kwa tuhuma za ulevi .

Usaliti ni laana
 
Vijana wa sasa wana uroho wa madaraka na tamaa sana za kupata mali kwa haraka. Imefikia sasa mtu yupo tayari hata kuua mwenzie ili tuu apate chochote kama vile yeye ataishi milele.

Kinacho sikitisha zaidi mambo haya yanafanywa na vijana wasomi ambao tulitegemea wangekuwa chachu ya Mabadiliko kwa kizazi hiki.

Chukulia mfano wa huyu jamaa Mwita Waitara. Aliaminiwa na watu wa Ukonga kupitia Chadema akapata Ubunge. Lakini akaachia ngazi na kisha akaomba tena kugombea jimbo lile lile alilo liacha kupitia CCM. Jambo hilo limeondoa kitu inaitwa Credibility yake kwa jamii. Na sasa ameanza kutapatapa akitafuta wapi atagombea mpka akaropoka kuwa anataka kugombea Tarime vijijini akapambane na John Heche wa Chadema.

Dhamira yangu ilikuwa kumuonesha Waitara CCM ina wenyewe. Mara baada bwana Waitara kutangaza nia Chama cha Mapinduzi Mkoani Mara wamesema watamuita ktk kamati ya Maadili kwa kukiuka maadili ya Chama kwa kutangaza kugombea kabla ya muda.

Wakati Waitara anaitwa Kuna kibibi fulani Betina kiko bize kinazurula na Misaraba huko Mbeya na hakuna wa kumghasi. Kile kibibi kinakusanya mpaka Wasanii na kuharibu hadi miundo mbinu ya CCM inayo waingizia pesa uwanja wa Sokoine.

Hakuna wa kumuita ktk kamati ya Maadili bnaa zaidi sana alisikika kiongozi mmoja akilalamika tuu kuwa tumekosa mapato na Mechi ya Yanga na Prison imepelekwa Iringa kutokana na uwanja kuharibiwa tunasikitika sana.

Wanasikitika hawana cha kufanya kwa kibibi kizee kile. Ila kwa Waitara wanaweza tena wamemuita ktk kamati ya Maadili. Hii ndio maana halisi ya CCM ina wenyewe. Vijana Makapuku acheni urofa ninyi CCM inawenyewe ninyi endeleeni kuwashangilia tuu wakipita na Ving'ora vyao eti na wewe unajiita Mwana ccm Damu.

Maendeleo hayana Vyamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sio Waitara tu

Ni wote,wanatumiwa kama kondomu na kutupwa kwenye dust bin kama kawaida!

Watatumia Chauma kugombea!

These motherfvckers are degenerates aisee!
 
Vijana wa sasa wana uroho wa madaraka na tamaa sana za kupata mali kwa haraka. Imefikia sasa mtu yupo tayari hata kuua mwenzie ili tuu apate chochote kama vile yeye ataishi milele.

Kinacho sikitisha zaidi mambo haya yanafanywa na vijana wasomi ambao tulitegemea wangekuwa chachu ya Mabadiliko kwa kizazi hiki.

Chukulia mfano wa huyu jamaa Mwita Waitara. Aliaminiwa na watu wa Ukonga kupitia Chadema akapata Ubunge. Lakini akaachia ngazi na kisha akaomba tena kugombea jimbo lile lile alilo liacha kupitia CCM. Jambo hilo limeondoa kitu inaitwa Credibility yake kwa jamii. Na sasa ameanza kutapatapa akitafuta wapi atagombea mpka akaropoka kuwa anataka kugombea Tarime vijijini akapambane na John Heche wa Chadema.

Dhamira yangu ilikuwa kumuonesha Waitara CCM ina wenyewe. Mara baada bwana Waitara kutangaza nia Chama cha Mapinduzi Mkoani Mara wamesema watamuita ktk kamati ya Maadili kwa kukiuka maadili ya Chama kwa kutangaza kugombea kabla ya muda.

Wakati Waitara anaitwa Kuna kibibi fulani Betina kiko bize kinazurula na Misaraba huko Mbeya na hakuna wa kumghasi. Kile kibibi kinakusanya mpaka Wasanii na kuharibu hadi miundo mbinu ya CCM inayo waingizia pesa uwanja wa Sokoine.

Hakuna wa kumuita ktk kamati ya Maadili bnaa zaidi sana alisikika kiongozi mmoja akilalamika tuu kuwa tumekosa mapato na Mechi ya Yanga na Prison imepelekwa Iringa kutokana na uwanja kuharibiwa tunasikitika sana.

Wanasikitika hawana cha kufanya kwa kibibi kizee kile. Ila kwa Waitara wanaweza tena wamemuita ktk kamati ya Maadili. Hii ndio maana halisi ya CCM ina wenyewe. Vijana Makapuku acheni urofa ninyi CCM inawenyewe ninyi endeleeni kuwashangilia tuu wakipita na Ving'ora vyao eti na wewe unajiita Mwana ccm Damu.

Maendeleo hayana Vyamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana Mwita alidhani kuwa Naibu Waziri basi na yeye ni mwenzao? Yule wa Simanjiro nae alikwishaelezwa hawana mpango nae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lituye

Miandiko Kama hii Ni miandiko adimu sana, mwandiko huu umenyoka haukulala, umesimama wima. KONGOLE NDUGU.

Mambo haya yameanza zama hizo CCM haikuwapo siku ya Karume day kabla ya Nyerere day, WAKUBWA WAMENIELEWA.

Nadhani ukienda mbali zaidi utakundua kwamba sio CCM pekee waliowahi fanya jambo hilo, hata Mwenyezi Mungu kalifanya with exception, Naibii Mussa alley salaam alikua akibonga naye live, ilhali Issa Aleyh Salaam ni mwanaye wa pekee aliyetumwa na baba kwa Kondoo waliopotea, Ibrahim alley Salaam ndiye aliyepewa amri na mke kumuoa kijakazi.

Itoshe kusema ITENDEKE DUNIANI KAMA ILIVYO AMULIWA KBINGUNI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pauline Gekuli
James ole Milya
CCM ni walaghai sana. Nauliza watu wa Arumeru sasa hivi mnakunywa maji safi na barabara zote zina lami? Yale maigizo ya mkuu wenu wa wilaya yameishia wapi?
Hiyo Gekule namhurumia sana, ni mwanamke aliyekuwa amejijengea heshima kubwa sana sio Babati pekee bali nchi nzima. Kusimama kama mbunge wa kuchaguliwa mwanamke toka chama cha upinzani ni heshima mpaka kufa.
Kwa ujinga wake akanunulika na kuambiwa tutakurudisha, sasa 2020 wanamtema kwa dharau kubwa na heshima ndio imepotea
 
Screenshot_20200105_102147_com.twitter.android.lite.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijana wa sasa wana uroho wa madaraka na tamaa sana za kupata mali kwa haraka. Imefikia sasa mtu yupo tayari hata kuua mwenzie ili tuu apate chochote kama vile yeye ataishi milele.

Kinacho sikitisha zaidi mambo haya yanafanywa na vijana wasomi ambao tulitegemea wangekuwa chachu ya Mabadiliko kwa kizazi hiki.

Chukulia mfano wa huyu jamaa Mwita Waitara. Aliaminiwa na watu wa Ukonga kupitia Chadema akapata Ubunge. Lakini akaachia ngazi na kisha akaomba tena kugombea jimbo lile lile alilo liacha kupitia CCM. Jambo hilo limeondoa kitu inaitwa Credibility yake kwa jamii. Na sasa ameanza kutapatapa akitafuta wapi atagombea mpka akaropoka kuwa anataka kugombea Tarime vijijini akapambane na John Heche wa Chadema.

Dhamira yangu ilikuwa kumuonesha Waitara CCM ina wenyewe. Mara baada bwana Waitara kutangaza nia Chama cha Mapinduzi Mkoani Mara wamesema watamuita ktk kamati ya Maadili kwa kukiuka maadili ya Chama kwa kutangaza kugombea kabla ya muda.

Wakati Waitara anaitwa Kuna kibibi fulani Betina kiko bize kinazurula na Misaraba huko Mbeya na hakuna wa kumghasi. Kile kibibi kinakusanya mpaka Wasanii na kuharibu hadi miundo mbinu ya CCM inayo waingizia pesa uwanja wa Sokoine.

Hakuna wa kumuita ktk kamati ya Maadili bnaa zaidi sana alisikika kiongozi mmoja akilalamika tuu kuwa tumekosa mapato na Mechi ya Yanga na Prison imepelekwa Iringa kutokana na uwanja kuharibiwa tunasikitika sana.

Wanasikitika hawana cha kufanya kwa kibibi kizee kile. Ila kwa Waitara wanaweza tena wamemuita ktk kamati ya Maadili. Hii ndio maana halisi ya CCM ina wenyewe. Vijana Makapuku acheni urofa ninyi CCM inawenyewe ninyi endeleeni kuwashangilia tuu wakipita na Ving'ora vyao eti na wewe unajiita Mwana ccm Damu.

Maendeleo hayana Vyamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Apigwe
 
Hiyo Gekule namhurumia sana, ni mwanamke aliyekuwa amejijengea heshima kubwa sana sio Babati pekee bali nchi nzima. Kusimama kama mbunge wa kuchaguliwa mwanamke toka chama cha upinzani ni heshima mpaka kufa.
Kwa ujinga wake akanunulika na kuambiwa tutakurudisha, sasa 2020 wanamtema kwa dharau kubwa na heshima ndio imepotea
Gekuli akirudi kuwa mbunge Babati mjini Matteo Qaresi atakuwa rais....
 
Kwa Tarime vijijini atachukua kiulani kwa sababu kuu mbili

1. Wananchi wamemchoka sana mbunge wao wa sasa (John Heche). Hivyo amelibaini hilo kwani wenyeji hao wana asili ya kuongozwa na mbunge kwa kipindi ki1.

2. Wenyeji wa huko wametawaliwa sana na ubaguzi wa koo. Hivyo ukitoka au ukiungwa mkono na koo kubwa kama Wairegi ni lazima ushinde. Mwita Waitara kama sikosei anatoka katika ukoo wa Wairegi.


Sent using Jamii Forums mobile app
Waitara yupi? Hapo sasa hata ninyi mmeamini kuwa Ukonga alishalikoroga na kamwe hatokubalika tena. Kingine wale wasaliti wote waliletw huko na ccm kwa kazi maalum. Kazi hiyo inaisha mwaka huu. Hutoamini maneno yangu lkn muda utasema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom