Semenya
JF-Expert Member
- Sep 5, 2009
- 572
- 51
kuna thread ilitoka hapo siku za nyuma, ikidai UDOM inajengwa kisiasa.me kwamtazamo wangu, hakuna mahala popote na sehem yoyote duniani, kukiwa na kitu cha maendeleo pasipo ingiliwa na siasa.ni jambo la kawaida sana kwa chama cha siasa kujinakshi na kujisifu kwa kitu kikubwa cha maendeleo wanapokifanya. sijaona tatizo kwa CCM kujisifu kwa ujenzi wa UDOM, hata kama waliiba sera kwa CHADEMA....kwani nao wanahaki na hawazuiwi kuiga mfano wa vyama vingine ndani na nje ya nchi kwa maendeleo ya Taifa