The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,847
tuache na tz yetu, wewe ikuhusu nini wakati siyo mtanzania....
aliyekwambia mie sio mtz nani?
Mbona unajishembendua bila haya???
tuache na tz yetu, wewe ikuhusu nini wakati siyo mtanzania....
nipe nchi yenye gdp kubwa kuliko tanzania inayojenga vyuo zaidi ya 3 tu duniani, n a yenye capacity ya udom.....ntafte private ntakupa dongenono.
hahahahahahahahahah
gender yangu wameniharibia jamaaa wa chama cha riadha duniani......
ANGALIA TU ISIGEUKE, MAANA SIUMENONA NILIVYO WAACHA WALE WANAWAKE KATIKA YALE MASHINDANO UJERUMANI?TURUDI KWENYE MADA MKUU, ANGALAU TUNA CHUO MKUU...EMAGINE ile UDSM yenyewe inakufa na wanaoiuwa waalim wapalepale....tuombe mungu UDOM isiharibiwe na wana UDOM wenyewe kama waalim wa UDSMin that case...kama ulikuwa half a woman and half a man,,
by the time i finnish with u....u will be a complete woman....100 percent.....ha ha ha
angalia tu isigeuke, maana siumenona nilivyo waacha wale wanawake katika yale mashindano ujerumani?turudi kwenye mada mkuu, angalau tuna chuo mkuu...emagine ile udsm yenyewe inakufa na wanaoiuwa waalim wapalepale....tuombe mungu udom isiharibiwe na wana udom wenyewe kama waalim wa udsm
Hakuna cha kujivunia UDOM ni skandali za kuajiri vihiyo kutoka Kenya na India tu