Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Najiuliza CCM imepotelea wapi? Chama dola kimepotea kwenye ramani ya siasa nakuviachia vyombo vya dola vimefanye kazi kwa niaba yao.
Chama dola ambacho hata viongozi wake wa mkoa na hata Taifa hawafahamiki kwa wananchi, kwanini mmefikia hapa?
Chama dola ambacho kimepwaya kujibu hoja badala yake kimeruhusu hoja kujibiwa kwa ukamataji wa watoa hoja na kuwafunga midomo
Chama dola ambacho hata kushawishi watu kujiunga nao ni watu hao wapewe nafasi za uongozi au wapewe madaraka ndio wajiunge.
Chama dola ambacho kinashuhudia spika akivunja sheria iliyowazi na iliyokinyume na misingi ya chama lakini akisemi.
Chama dola ambacho kimehalalisha rushwa ya madaraka na kufungua milango ya uonevu kwa kila mwenye mawazo mbadala. Chama hiki kwanini kimeamua kufa kifo Cha fikra na kubaki na fikra zakushikiliwa na kundi flani la watu?
Chama ambacho hakina vijana wajenga hoja kina vijana watukanaji, chama ambacho kila Jambo la maendeleo linalotoka nje ya mfumo wa linaitwa ubeberu.....
Naitafuta ccm ya mwalimu na vijana wake imepotea imebaki ccm ya dola ambayo siyo ccm iliyozaliwa mwaka 1977 Bali hii ni ccm isiyokuwa na itikadi wala dira.
Chama dola ambacho hata viongozi wake wa mkoa na hata Taifa hawafahamiki kwa wananchi, kwanini mmefikia hapa?
Chama dola ambacho kimepwaya kujibu hoja badala yake kimeruhusu hoja kujibiwa kwa ukamataji wa watoa hoja na kuwafunga midomo
Chama dola ambacho hata kushawishi watu kujiunga nao ni watu hao wapewe nafasi za uongozi au wapewe madaraka ndio wajiunge.
Chama dola ambacho kinashuhudia spika akivunja sheria iliyowazi na iliyokinyume na misingi ya chama lakini akisemi.
Chama dola ambacho kimehalalisha rushwa ya madaraka na kufungua milango ya uonevu kwa kila mwenye mawazo mbadala. Chama hiki kwanini kimeamua kufa kifo Cha fikra na kubaki na fikra zakushikiliwa na kundi flani la watu?
Chama ambacho hakina vijana wajenga hoja kina vijana watukanaji, chama ambacho kila Jambo la maendeleo linalotoka nje ya mfumo wa linaitwa ubeberu.....
Naitafuta ccm ya mwalimu na vijana wake imepotea imebaki ccm ya dola ambayo siyo ccm iliyozaliwa mwaka 1977 Bali hii ni ccm isiyokuwa na itikadi wala dira.