voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,545
- 11,943
- Thread starter
- #21
Ukweli ndio huo...wapinzani wao bado wanagombana na Makaburi.CDM badilikeni acheni Uanaharakati....!
FANYENI SIASA, tambueni mahitaji halisi ya mlala hoi na jinsi gani ya kusolve..!
2025 ni Kama Kumsukuma Mlevi ...!
Iwe kwa Katiba mpya au hii hii...iwe Kwa Tume mpya au hii hii ...
Muuza mihogo ukimwambia andamana Dai KATIBA Mpya haielewi.
Lakini ukimwambia bei ya mafuta Kukaangia mihogo itashuka ukinichagua ujue umempata..!
Mtu wa Kawaida Ukimwambia 'tozo la miamala' hatuambiwi tena Zimekusanywa shin ngapi ? Na Zinaenda Wapi? Anaelewa. Amkeni Amkeni!
Lile Genge la 'Wahuni' limesusiwa Chama. Mnataka nini tena?
Huu ndio wakati wa kuja frontier....