CCM imepauka ghafla na Umoja party imeng'aa ghafla

Magufulism ni falsafa inayosimama na wananchi walio wengi na masilahi yao.

Yeyote anayeipinga hasimami na wananchi walio wengi pamoja na masilahi yao, anapinga demokrasia.

For a politician to be popular, presentable and majority-supported; s/he MUST be Magufulist.
Magufulism ni upumbavu mtupu. Rais wa mbaguzi, mwongo, mwizi na muuaji. Wananchi gani hao wanaotaka takataka kama Magufuli?
 
Hawa ndio wauwaji wa CCM.
Rasmi.
IMG-20220331-WA0020.jpg
FB_IMG_1650272679186.jpg
 
Magufulism ni falsafa inayosimama na wananchi walio wengi na masilahi yao.

Yeyote anayeipinga hasimami na wananchi walio wengi pamoja na masilahi yao, anapinga demokrasia.

For a politician to be popular, presentable and majority-supported; s/he MUST be Magufulist.
Huu ni ukweli mchungu
 
Hivi Kwa akili ya kawaida kabisa, Utaanzia wapi kumfanya Mmachinga ,mkulima, aamini kua JPM alitenda vibaya??

Yaan unaanzia wapi sasa ??.


ILI UTOBOE KISIASA KWA SASA, NI LAZIMA UWE NA SIASA AMBAZO NDANI YAKE ZIMEBEBA FALSAFA ZA JPM.



Amin nawambia, JPM aliwafungua Vichwa Watanzania kiasi Cha kujua aina gan ya Rais anawafaa? Na nani ni adui Yao??.


Nakupa mfano..Leo mida ya saa 11 nilipita Soko fulan la Nguo , Mahali fulan nilisimama Kuna wazee walikua karibu 9 ivi wanamjadili Samia na Safari za Ulaya zisizoisha, na Maisha kupanda juu

Na Kwa hizi Fujo namashambulizi yao dhidi ya JPM ndo kabisaaaaaa wanajivuruga.



MAAJABU NI KWAMBA MWAKA 2025, Samia atalitumia jina la JPM kuomba Kura !!!.


K
Hizo falsafa mnazozinadi ndiyo zile za kuchagua ccm nchi nzima kwa mshahara wa miradi ya maendeleo?Alihakikisha wizara zote zinaongozwa na wasukuma au kanda pendwa/ziwa?
Chama cha siasa kinachojinasibu kupitia falsafa za aliyekuwa mwenyekiti wa chama kingine lazima tukitilie shaka.Hata kabla hakijasajiliwa tayari kinaanza mashambulizi dhidi ya vyama serious,hilo nalo linaongeza shaka ya nia,malengo na sababu za kuundwa kwake.
Hivi hapa Tanzania tunapungukiwa na vyama vya siasa vyenye uwezo wa kuiondoa CCM?
CCM inajitahidi kujiwekea ngao ya kukikinga dhidi ya upinzani kwa kupandikiza vyama mamluki.
 
Kwani wasukuma.wakiomgoza wizara zote kuna ubaya gani?
Hakuna ubaya kama wanateuliwa kwa merits na siyo kwa kuwa wasukuma au wakukaya's.Magu hakuwahi kuandika falsafa yoyote ya kuigwa na kupigiwa chapuo.
Tusianzishe vyama vya siasa kwa kufuata mihemko na ushabiki ili kukilinda CCM.
Inakuwaje chama kisichosajiliwa kinaanza mashambulizi dhidi ya wapinzani badala ya kujielekeza kukiondoa chama dola?Mbaya zaidi kimeanza kuungwa mkono na wafia CCM humu mtandaoni?Waona ni sawa hiyooo?
 
Magufulism ni upumbavu mtupu. Rais wa mbaguzi, mwongo, mwizi na muuaji. Wananchi gani hao wanaotaka takataka kama Magufuli?
Koma kusema hivyo. Takataka mwenyewe! mtu aliyetututea wanyonge unamwita takataka nenda mkacheze movie marekani huko usituletee tamthilia wazee wa hapa kazi tu!

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Kudoda kwa zoezi la chaguzi zinazoendelea ndani ya ccm licha ya mzee Kinana kurejeshwa ni ishara mbaya kwa chama hicho, kauli za kina Nape kwamba ccm kina wenyewe kimeiharibia vibaya mno ccm. Ni lazima Nape alazimishwe kuwaomba radhi wanaccm na watanzania kwa ujumla.

WanaCCM wengi wamesusa kuchukua fomu na kishiriki chaguzi zinazoendelea na watu wanajiuliza yale mamia ya wanaccm waliojitokeza kuchukua fomu za ubunge na ngazi zingine enzi ya utawala wa Hayati Magufuli wameenda wapi?

Kuna hisia kali ndani ya mioyo ya watanzania kwamba sasa ccm imegeuka na kuwa CCM ya wajuaji na wapigaji na kama ni mzalendo wa nchi ni lazima uchafuliwe na kutukanwa kama anavyofanyiwa Luhaga Mpina na Hayati Magufuli.

WanaCCM wanaojitambua wameghazabika na sasa wameichukia CCM na kimbilio lao wanaona ni Umoja party.

Hayati JPM hachafuki.

WanaCCM wanajua kabisa wanakibarua cha kutoyaenzi mazuri ya hayati JPM.
Ujumbe wa Zitto unakuhusu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom