Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 5,277
- 8,003
Magufulism ni upumbavu mtupu. Rais wa mbaguzi, mwongo, mwizi na muuaji. Wananchi gani hao wanaotaka takataka kama Magufuli?Magufulism ni falsafa inayosimama na wananchi walio wengi na masilahi yao.
Yeyote anayeipinga hasimami na wananchi walio wengi pamoja na masilahi yao, anapinga demokrasia.
For a politician to be popular, presentable and majority-supported; s/he MUST be Magufulist.