CCM imepata adhabu mkoa wa Kilimanjaro!

CCM imepata adhabu mkoa wa Kilimanjaro!

Bangoo

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2011
Posts
5,597
Reaction score
1,016
Chama cha mapinduzi kimeshindwa vibaya sana katika mkoa wa Kilimanjaro katika majimbo 9 ya uchaguzi Ccm imeshinda majimbo mawili yaliyoko same ! Ukawa wameshinda majimbo 7 moshi mjini cdm,hai cdm,rombo cdm,moshi vijijini Cdm, same magaribi cdm, vunjo Nccr, siha cdm.
 
Ukabila tu, wachaga wamekuwa kama wapemba! Wasiwasi wangu watanzania watakuja kukisusia chadema kibaki arusha na kilimanjaro tu, sio dalili nzuri ya kushangilia hiyo!
 
Pia katika mkoa Wa Iringa Kati ya majimbo 7 ukawa wamepata jimbo moja. Katika mkoa Wa Njombe Ukawa hawajalamba hata kiti kimoja
 
ruvuma hamjaramba hata moja. dodoma hamjapata hata moja.
 
Ukabila tu, wachaga wamekuwa kama wapemba! Wasiwasi wangu watanzania watakuja kukisusia chadema kibaki arusha na kilimanjaro tu, sio dalili nzuri ya kushangilia hiyo!
Huu ujinga wenu ndio maana wachaga wameifuta ccm kwao ofisi kafugieni kuku sasa na hao akina chami mwanri na mosha sijui ni wasukuma
 
Ukabila tu, wachaga wamekuwa kama wapemba! Wasiwasi wangu watanzania watakuja kukisusia chadema kibaki arusha na kilimanjaro tu, sio dalili nzuri ya kushangilia hiyo!

acha ungese mbona shinyanga na mwanza hakuna hata jimbo la upinzani yote nyinyiemu
 
Mbeya pia tumejikaza ila cjui wametuzidije tulitaka ifuta rasmi tumepata tunduma momba mby mjini na mboz
 
Ukabila tu, wachaga wamekuwa kama wapemba! Wasiwasi wangu watanzania watakuja kukisusia chadema kibaki arusha na kilimanjaro tu, sio dalili nzuri ya kushangilia hiyo!

Wewe ndugu achakueneza ukabila hivyo ni kutugawa,kwaio ccm kuondolewa huko ndio ukabila
 
Chama cha mapinduzi kimeshindwa vibaya sana katika mkoa wa Kilimanjaro katika majimbo 9 ya uchaguzi Ccm imeshinda majimbo mawili yaliyoko same ! Ukawa wameshinda majimbo 7 moshi mjini cdm,hai cdm,rombo cdm,moshi vijijini Cdm, same magaribi cdm, vunjo Nccr, siha cdm.
Kamanda kua mkweli adhabu au ukabila ndiyo umetumika hamna cha zaidi.
 
Ukabila tu, wachaga wamekuwa kama wapemba! Wasiwasi wangu watanzania watakuja kukisusia chadema kibaki arusha na kilimanjaro tu, sio dalili nzuri ya kushangilia hiyo!

Kweli wachaga ni wengi sana hata Kawe, Ubungo, Tunduma, ......Pumbavu, tabia yenu ya kugawa watu kwa ukabila imeangukia pua! Badilisheni mbinu..
 
Ukabila tu, wachaga wamekuwa kama wapemba! Wasiwasi wangu watanzania watakuja kukisusia chadema kibaki arusha na kilimanjaro tu, sio dalili nzuri ya kushangilia hiyo!

kwani hao walioshindwa ni wamakua?
 
Ukabila tu, wachaga wamekuwa kama wapemba! Wasiwasi wangu watanzania watakuja kukisusia chadema kibaki arusha na kilimanjaro tu, sio dalili nzuri ya kushangilia hiyo!


Bora kura za ukabila ambazo ni HALALI kuliko kura za maguu-foolish za WIZI.
 
Ukabila tu, wachaga wamekuwa kama wapemba! Wasiwasi wangu watanzania watakuja kukisusia chadema kibaki arusha na kilimanjaro tu, sio dalili nzuri ya kushangilia hiyo!

Cuf wameshinda Zanzibar
 
Chama cha mapinduzi kimeshindwa vibaya sana katika mkoa wa Kilimanjaro katika majimbo 9 ya uchaguzi Ccm imeshinda majimbo mawili yaliyoko same ! Ukawa wameshinda majimbo 7 moshi mjini cdm,hai cdm,rombo cdm,moshi vijijini Cdm, same magaribi cdm, vunjo Nccr, siha cdm.
sio K'njaro pekee, hata na Arusha hali imekuwa ni hiyohiyo, lakini nahofia kusema kuwa watu wameiadhibu ccm, definetely watu walihama na Lowasa maana ccm ilikuwa ni chama pendwa kwa mikoa hiyo miwili hadi July 2015. sidhani kuwa kulikuwa na dhambi kubwa ya kiutawala between July na October iliyohamisha wafuasi wote wa ccm!
kuna samba beyond utawala bora
 
sio K'njaro pekee, hata na Arusha hali imekuwa ni hiyohiyo, lakini nahofia kusema kuwa watu wameiadhibu ccm, definetely watu walihama na Lowasa maana ccm ilikuwa ni chama pendwa kwa mikoa hiyo miwili hadi July 2015. sidhani kuwa kulikuwa na dhambi kubwa ya kiutawala between July na October iliyohamisha wafuasi wote wa ccm!
kuna samba beyond utawala bora

Hapana si kweli. CCM iliachwa kupendwa KLM miaka kumi iliyopita. Watu wa KLM wa naamini kwenye ule usemi unasema: fool me once...fool me twice....Kifupi hawataki longolongo. Arusha ndio wengi wamehama na Lowassa hasa baada ya usemi wa raisi hawezi kutoka Kaskazini.
 
Chama cha mapinduzi kimeshindwa vibaya sana katika mkoa wa Kilimanjaro katika majimbo 9 ya uchaguzi Ccm imeshinda majimbo mawili yaliyoko same ! Ukawa wameshinda majimbo 7 moshi mjini cdm,hai cdm,rombo cdm,moshi vijijini Cdm, same magaribi cdm, vunjo Nccr, siha cdm.

Mwanza, dodoma, shinyanga wamefanywaje au ilimradi tu kujaza server??
 
Wajinga wengi mnawahanya sana wachaga. Huyu ni mzungu wa tz au!
 
Back
Top Bottom