simon mato
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 926
- 484
- Thread starter
- #41
Mkuu unajua sisi wengine ni wana majeruhi katika siasa za kinafiki ambao mwisho wake tuliona 2015 uchafu uliofanyika CDM! Ila yote ni yote MBOWE amechoka amwachie mwingine atuongoze kwenye mapambano mapya sasa hivi tunamtaka mtu mwenye damu ya ukombozi siyo mwenye tamaa ya kuongoza!Kuna mengi nakubaliana na ww sana kwenye post yako. Na pia nashukuru hili jukwaa limekurudisha kwenye mstari kwa ile tabia yako ya kuisifia ccm eti kwa madhaifu ya cdm. Ninavyoamini mimi cdm ilikuwa kwenye mstari mzuri hata walikuwa wakisema serekali inasikia hata kama haitekekezi. Mahali walipokuja kuchemsha ni kumpokea EL na kumpa nafasi ya juu kabisa ya uongozi. Mwanzoni Mbowe alitaka kutuaminisha kacheza karata yake vizuri, lakini toka mwanzo nilijua na kuonya kwamba ile ni kete mbovu kabisa kuicheza. Hapa tulipo tuko na cdm iliyochemsha kwa kumkumbatia EL chini ya mtazamo wa Mbowe, na ccm inayolazimisha kupendwa na kukubalika chini ya Magufuli.
Imetosha imetosha! Tunamtaka mwingine atuongoze kwenye battle field jasiri na mwenye ushwawishi kwa wananchi, mwenye kutuunganisha kiitikadi zetu