Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,836
- 7,492
Akiwa Tabora aliongea kilugha leo Chato muda wote ni kilugha na ukabila tu sasa sielewi ikitokea Mbowe akahutubia kichaga nadhani Tanzania nzima itapiga kelele, naomba sana ukabila huu ulaaniwe vilevile tume ilivofanya kwa Lowassa. Jaji naomba ufanye haki ukabila hautakiwi kama hujui kiswahili mbona huko kwingine hakutumia kilugha?