Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
chadema ni janga la kitaifa!wanachama wake wengi ni wahuni tu,wapo wachache wenye kujenga hoja,hekima na busara,wengi wenu humu jf hamna hoja!weka vithibitisho kuwa ccm imebakia na wanachama 250000,pumba tu ndo mnajaza humu,,we sangarara ukiulizwa utaje sera hata moja ya cdm hujui
Sasa Mkuu nani mhuni kati ya CDM wanaotangaza sera za kuwakomboa watanzania wanyonge, na CCM inayowachinja wanyonge walioamua kukata shauri kuelekea Tanzania ya Wastaarabu? Nani Mhuni kati ya CDM wanaowajenga na kuwaelimisha vijana wa kitanzania siasa za kistaarabu na CCM wanaowafundisha vijana kujiunga kwenye vikundi vya kigaidi vya bokoharam?