CCM Imebaki Jina

CCM Imebaki Jina

Ishukuru sana CCM, bila yenyewe usingekuwa unaitwa mtanzania.

Kwa uoni wako unadhani hata najivunia kuwa Mtanzania? Mi nina Nchi yangu nikisikia unaitaja hata Moyo hua una pamp damu vizuri tu (ZANZIBAR)
 
Kwa uoni wako unadhani hata najivunia kuwa Mtanzania? Mi nina Nchi yangu nikisikia unaitaja hata Moyo hua una pamp damu vizuri tu (ZANZIBAR)
Bila Tanzania hakuna ZANZIBAR, kuna unguja na Pemba, sasa niambie wewe ni Unguja au Pemba?
 
chadema watu ni walewale wezi wale wale wa bank kuu ndio wale wale wanao ongelea utetezi wa wanainch tuache kudanganyana ccm chama kubwa
 
Mtu yeyote anayeikashifu CCM lazima kichwani hayuko sawa.
CCM imemkomboa mtanzania kutoka makuchani mwa mkoloni, leo hii ukiitukana unajitakia laana!

vipi kuhusu TANU umepata uhuru1977?
 
Ccm ilizaliwa baada ya kufa TANU na ASP, ,sasa ccm ipo icu hakuna matumaini tena.Sasa ni Ukawa .
 
Mtu yeyote anayeikashifu CCM lazima kichwani hayuko sawa.
CCM imemkomboa mtanzania kutoka makuchani mwa mkoloni, leo hii ukiitukana unajitakia laana!

Wewe kweli ni mwehu... kijana yoyote anaye ishabikia magamba akiwa mzee atakuwa mchawi. ..sasa inavyoonekana wewe ukisha zeeka utakuwa mchawi
 
Back
Top Bottom