hauchimbwi
Member
- May 2, 2015
- 10
- 1
Kwa kweli nimesoma kichwa cha habar kutoka gazeti la mawio nimeipenda sana hiyo kauli, nimevuta taswira ya kinana juzi kati alikuwa hapa mwanza akichambua serikali inayoongozwa na chama chake na yeye mwenyewe akiwemo maana bila cham hicho kuongozwa hivyo kinavyoongozwa hata yeye asingekuwa na pesa wala uthubutu wa kusimama hivyo alivyo, nikajiuliza je ni kinana huyu ama yule meli zake zilikamatwa zikiwa na shehena ya makontena ya pembe za ndovu.
Kwa kweli eti leo anawahurumia wananchi kuwa serikali yake sio sikivu so mim naona na yeye amekiri kuwa ccm haiwezi kutuvukisha kutoka hapa tulipo kwama means haina plan b hivyo kilichobaki ni kuitupa mbali kabisa ili wakalale na waanza kutumia pesa walizotuibia huku wakiwaza na kujiandaa kisaikolojia kwenda jela na kutaifishwa mali zote walizo chukua nje na utaratibu akiwamo yeye mwenyewe.
Kwa kweli eti leo anawahurumia wananchi kuwa serikali yake sio sikivu so mim naona na yeye amekiri kuwa ccm haiwezi kutuvukisha kutoka hapa tulipo kwama means haina plan b hivyo kilichobaki ni kuitupa mbali kabisa ili wakalale na waanza kutumia pesa walizotuibia huku wakiwaza na kujiandaa kisaikolojia kwenda jela na kutaifishwa mali zote walizo chukua nje na utaratibu akiwamo yeye mwenyewe.