kama mkiendeleza unafiki kama mlivyofanya katika bunge lenu la Katiba la Mh Sitta basi mjue mtatawaliwa milele.
Kumbukeni kukingoa chama tawala kunahitaji utayari na umakini wa upinzani na kujipanga kwa lolote na kukabiliana nalo kwa nia ya kujikomboa.
pole sana
Kukabiliana sio lazima kuwe kwa namna unayoitarajia wewe, kuna kitu inaitwa strategy, na ndio iliyotumika. Subiri majibu. Pole na wewe