Mwanakijiji sina tatizo kabisa na makala zako zote za JF na zingine zote, isipokuwa mara chache nitakuwa nikitofautiana nawe pale nitakapo ona dhamira yangu yanituma hivyo. kitendo cha CCM kuona kwamba kuna mchwa wanaotaka kukibungua na kuamua kuitana /kukalishana/kuonyana ni kitendo cha kijasiri kwa chama/ taasisi au kikundi chochote kile vinginevyo utakuwa ni wehu uliotukuka kuona kuwa taasisi inakaribia kuparaganyika kwa kusababishwa na mmoja wenu au wenzenu nanyi mkaamua kukaa kimya bila bila kufanya tafakuri jadidi. walichofanya CCM ndicho kinacho stahili personal nawapongeza sana japo yawezekana walichokifanya wewe na wengine wengi msifurahishwe.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!
Hapo zamani za kale kulikuwepo na CCM...
Hapo zamani za kale kulikuwepo na CCM...
Bila kumsahau mjumbe wa baraza la wazee Le Mutuz System , yaani hiki chama magumashi matupu !
Una maono makali sana ! CCM ITAKUFA 2015 - MAKONGORO NYERERE .Hapo zamani za kale kulikuwepo na CCM...
Nikisoma post hii nakumbuka ile hadithi ya fisi anayetembea sambamba na mwanajeshi anayekwenda mwendo wa "shoto kulia shoto kulia" akidhani kwamba mikono ya mwanajeshi inakaribia kudondoka ili apate mlo.
Hapo zamani za kale kulikuwepo na CCM...
Kwa hakika adui yako muombee Njaa.
Hongera Mwanakijiji. Wasi wasi wangu usiwe ule wa Fisi kumfuata mwan'Adam kwa kufikiri kuwa ipo siku mikono yake itadondoka nae apate kitoweo.
Pole sana.
Kwa hiyo na wewe unaamini ccm itatawala milele! It's naturaly impossible. You should've know this already unless you never went to school. No hard feelings lakini budy