Mwakitobile
JF-Expert Member
- Oct 4, 2012
- 452
- 120
CCM wanapora kila kitu alichonacho mwananchi wa kawaida.Yapata miaka miwili au mitatu sasa,toka serikali ya chama tawala ikamate mabilioni ya pesa za walalahoi waliyopanda katika taasisi isiyo ya kiserikali DECI kama upatu,kesi ipo mahakamani kwa muda mrefu sasa,lakini maendeleo yake hayaridhishi,kwani ushahidi upo wazi kabisa.Je ni kweli serikali ya chama tawala ilikuwa na nia ya dhati ya kuokoa pesa za walalahoi kutoka mikononi mwa waliowatuhumu kama matapeli,? au walichukua pesa hizo kwa ajili ya matumizi ya kampeni mwaka 2010?..Tutaongea ukweli tu hata kama kesi bado ipo mahakamani,kwani mahakama zetu ni sehemu za kupoka,kuchelewesha na kukandamiza haki za walalaho kupitia maagizo ya serikali ya wanamagamba.