Habari ndiyo hiyo! Hapa nipo Itumba na habari ni UKAWA tu!
Mbunge wa Ileje Bw. Kibona hana chake kabisa na amesababisha mtafaruku mkubwa baina ya wananchi na CCM wilaya na pia CCM taifa na CCM wilaya!
Vita ni wao kwa wao!! Ehe Mwenyezi Mungu endelea kuwasambaratisha mafisadi hawa!!
Janet Mbene na Kibona ni jino kwa Jino!!
Asante sana mkuu kwa taarifa njema kabsa hii, hii ni zaid ya mnara wa babeli,,, waache wazikane wao kwa wao cc tupite kati tuu,,, eeeh mwenyezi mungu nipe pumzi na afya njema nami niwe kati ya wale watakaoiona promised land ya tanzania via ukawa... eeeh mwenyez mungu tusaidie. Amen