CCM Ilala yapinga uchaguzi wa Meya

CCM Ilala yapinga uchaguzi wa Meya

Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wake wa wilaya hiyo Mh Asaa Simba aliponukuliwa na gazeti la mwananchi .

amesema wapo kwenye mchakato wa kumburuza mahakamani Mkurugenzi wa manispaa hiyo Isaya Mngurumi.

Akiendelea kufunguka zaidi Mh Simba alisema mojawapo ya sababu zilizosababisha wakagomea uchaguzi huo ni kuzuiliwa wabunge wanane wa viti maalum wakiwemo waliotoka mikoa ya zanzibar .
Hivi ulikuwa ni uchaguzi wa meya wa wilaya ya ilala au makunduchi?hao watu wana akili kweli?kabla ya kumshitaki huyo mkurugenzi wamshitaki kwanza simbachawene
 
Tunakuomba Mh Asaa Simba uje ujibu hii .

Huyu ASAA SIMBA , kiuhalisia ni mpemba, alafu hata form four hakufika, napata taabu leo hii kusikia ni mwenyekiti wa CCM katika kundi hilo.
ili hali mtaa wake wa vinginguti ni majanga katika usafi.
 
Kosa Kubwa walilolifanya CCM ni kumuacha Isaya Mgulumi asimamie uchaguzi huo,walipaswa wamwite jecha aje asimamie huo uchaguzi,ccm chini ya jecha hakuna kushindwa,ni ushindi tu,wakishindwa uchaguzi unafutwa na matokeo yake yote.

Tukisema kuwa mwanachama wa ccm unapaswa uwe Taahira watu wanabisha,sasa wabunge wa Zanzibar wanaingiaje katika Halmashauri za Dar?Ni aibu na fedheha sana kujiita mwanaccm mbele ya jamii ya wastaarabu,aibu sana.Halafu watu wakisema Ukweli Nape anakimbilia kufungia Gazeti na Policcm wanakutafuta wakuweke korokoroni.

Sasa kama umeya unawatoa roho,mtatuaminisha vipi kuwa Magufuli ni mshindi halali wa Urais?Ni vigumu kwa Mwenye akili timamu kuiamini NECCCM eti ilikuwa huru na aliyetangazwa ni mshindi halali.
Mkuu umenena ukweli mtupu
 
Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wake wa wilaya hiyo Mh Asaa Simba aliponukuliwa na gazeti la mwananchi .

amesema wapo kwenye mchakato wa kumburuza mahakamani Mkurugenzi wa manispaa hiyo Isaya Mngurumi.

Akiendelea kufunguka zaidi Mh Simba alisema mojawapo ya sababu zilizosababisha wakagomea uchaguzi huo ni kuzuiliwa wabunge wanane wa viti maalum wakiwemo waliotoka mikoa ya zanzibar .

Wabunge wa viti maalumu , watapiga kura kumchagua meya wa eneo ambalo wao walichukulia form za kugombea ubunge huo, na sio vinginevyo
 
Sababu:Kuzuiliwa wabunge wanane wa viti maalumu wa Zanzibar.?????? Kupiga Kura Umeya ILALA???
 
Huyu ASAA SIMBA , kiuhalisia ni mpemba, alafu hata form four hakufika, napata taabu leo hii kusikia ni mwenyekiti wa CCM katika kundi hilo.
ili hali mtaa wake wa vinginguti ni majanga katika usafi.
lakini si chotara
 
Kwa uchaguzi wa Muungano au unajifanya uelewi?
Jecha alifuta matokeo ya uchaguzi Wa Zanzibar tu.
ulisimamiwa na nani ? na je kulikuwa na vyumba tofauti vilivyotumika kati ya wa muungano na wa zanzibar ? na je kulikuwa na wapiga kura tofauti kati ya wale wa kura za zanzibar na wale wa Muungano ?
 
ulisimamiwa na nani ? na je kulikuwa na vyumba tofauti vilivyotumika kati ya wa muungano na wa zanzibar ? na je kulikuwa na wapiga kura tofauti kati ya wale wa kura za zanzibar na wale wa Muungano ?
Najibu maswali yako kama ifuatavyo
1: ulisimamiwa na NEC chini judge Lubuva.

2: kuepusha usumbufu vyumba vilivyotumika vilikuwa sawa isipokuwa mawakala pamoja na masanduku yalikuwa tofauti kabisa. Wa NEC huku wa ZEC kule.

3: wapiga kura ni walewale ila theme zilikuwa mbili tofauti kabisa.
i. Rais wa Muungano "Tanzania"
na wabunge wake.
ii. Rais wa Zanzibar na wajumbe
wa baraza la wawakilishi.

NB: kwa kuzingatia kipengele Namba 3 hapo juu, haiwezekani wapiga kura walewale kwa idadi lkn upande mmoja uwe sawa kitakwimu afu upande mwingine wazidi idadi iliyoandikishwa.

Hackers completed their mission but at last minute was aborted.
 
Najibu maswali yako kama ifuatavyo
1: ulisimamiwa na NEC chini judge Lubuva.

2: kuepusha usumbufu vyumba vilivyotumika vilikuwa sawa isipokuwa mawakala pamoja na masanduku yalikuwa tofauti kabisa. Wa NEC huku wa ZEC kule.

3: wapiga kura ni walewale ila theme zilikuwa mbili tofauti kabisa.
i. Rais wa Muungano "Tanzania"
na wabunge wake.
ii. Rais wa Zanzibar na wajumbe
wa baraza la wawakilishi.

NB: kwa kuzingatia kipengele Namba 3 hapo juu, haiwezekani wapiga kura walewale kwa idadi lkn upande mmoja uwe sawa kitakwimu afu upande mwingine wazidi idadi iliyoandikishwa.

Hackers completed their mission but at last minute was aborted.
ushahidi wa unachokiandika hata jecha ameshindwa kuthibitisha mpaka dk hii , hii ni propaganda iliyofeli kabla haijasambaa .
 
Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wake wa Wilaya hiyo Asaa Simba aliponukuliwa na gazeti la mwananchi.

Amesema wapo kwenye mchakato wa kumburuza mahakamani Mkurugenzi wa manispaa hiyo Isaya Mngurumi.

Akiendelea kufunguka zaidi Simba alisema mojawapo ya sababu zilizosababisha wakagomea uchaguzi huo ni kuzuiliwa wabunge wanane wa viti maalum wakiwemo waliotoka mikoa ya Zanzibar.

Daa hii kali waliotoka mikoa ya Zanzibar, mhurumie huyo Simba na chama chake hawa watu wamevurugwa !!!!!!!!!!!!!!
 
Mshana mie nina ombi binafsi.....hamna kitu naweza nikakifanya hiki chama kipotee???! Kupitia yale mambo yetu yaleeeee😀😀😀😀
Tusubiri jibu,lakini na mashaka kuwa kama itawezekana maana huko chamani ndio wamejaa magwiji watupu.
Pia angalia wasije mjaribu mshana jr bure kwa vile atatoa wazo. Ingawa namwa minia yuko fiti
 
kweli maCCM wanaanza kuchizi sasa, na akili zao zinaanza kuwa za nyumbu. Yaani wameshasahau alietoa katazo la wabunge wa ccm toka Zanzibar kushiriki chaguzi za Mameya ni Waziri George Simbachawene.

Nilitegemea wakaanza kudeal na waziri wao kwanza
 
Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wake wa Wilaya hiyo Asaa Simba aliponukuliwa na gazeti la mwananchi.

Amesema wapo kwenye mchakato wa kumburuza mahakamani Mkurugenzi wa manispaa hiyo Isaya Mngurumi.

Akiendelea kufunguka zaidi Simba alisema mojawapo ya sababu zilizosababisha wakagomea uchaguzi huo ni kuzuiliwa wabunge wanane wa viti maalum wakiwemo waliotoka mikoa ya Zanzibar.

Asaa Simba mtoto wa Sofia Simba?! Like son like mother! Kachelewa wiki!!??
 
Back
Top Bottom