CCM Ilala yapinga uchaguzi wa Meya

CCM Ilala yapinga uchaguzi wa Meya

Mkurugenzi wa Manispaa sio mbumbumbu. Kabla ya kufanya hivyo amechambua kwa makini hoja za pande zote kwenye suala hili la ushiriki wa wajumbe kwenye uchaguzi huu.
hawa jamaa wanafungua kesi hovyo hovyo tu kwa kutumia fedha za wananchi walizopiga kifisadi wapuuzi kweli
 
Asaa Simba mtoto wa Sofia Simba?! Like son like mother! Kachelewa wiki!!??
ni mtoto wake kweli? ujue ukitafakari kwa umakini utajagundua hii nchi inaendeshwa na ukoo wa watu kadhaa na marafiki wa hizo ukoo
duh, makamba, simba, kikwete, mgimwa, kigoda, mwinyi,.......the lists goes on
halafu mashemeji, wajomba na marafiki
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Huyo asaa simba gajui hata hesabu za kujumlisha wao walikua 19 na hao nane waliozuiliwa unapata 27 ukawa wamepata kura 31 .sasa kesi ya nn hapo si anajitafutia deni la garama ya kesi!
somehow ccm wanafanya lisilowezekana mbele ya wengi liwezekane, umesahau arusha 2011 na tanga 2016?
 
Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wake wa Wilaya hiyo Asaa Simba aliponukuliwa na gazeti la mwananchi.

Amesema wapo kwenye mchakato wa kumburuza mahakamani Mkurugenzi wa manispaa hiyo Isaya Mngurumi.

Akiendelea kufunguka zaidi Simba alisema mojawapo ya sababu zilizosababisha wakagomea uchaguzi huo ni kuzuiliwa wabunge wanane wa viti maalum wakiwemo waliotoka mikoa ya Zanzibar.
Hivi hawa ndugu zetu kwanini hawataki kukubali tu kwamba wameshindwa
Ipo haja ya kumwandaa wana saikolojia ili wapewe ushauri nasaha
 
Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wake wa Wilaya hiyo Asaa Simba aliponukuliwa na gazeti la mwananchi.

Amesema wapo kwenye mchakato wa kumburuza mahakamani Mkurugenzi wa manispaa hiyo Isaya Mngurumi.

Akiendelea kufunguka zaidi Simba alisema mojawapo ya sababu zilizosababisha wakagomea uchaguzi huo ni kuzuiliwa wabunge wanane wa viti maalum wakiwemo waliotoka mikoa ya Zanzibar.

jamaa anaweweseka sasa wabunge wa zanzibar walikuja kuwakilisha maslai ya ilala hizi ndo siasa majitaka

wakubali yaishe na umeya wa jiji nao wanapoteza

wapeleke nguvu sehemu nyingine tuu maana DSM hawana chao
 
Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wake wa Wilaya hiyo Asaa Simba aliponukuliwa na gazeti la mwananchi.

Amesema wapo kwenye mchakato wa kumburuza mahakamani Mkurugenzi wa manispaa hiyo Isaya Mngurumi.

Akiendelea kufunguka zaidi Simba alisema mojawapo ya sababu zilizosababisha wakagomea uchaguzi huo ni kuzuiliwa wabunge wanane wa viti maalum wakiwemo waliotoka mikoa ya Zanzibar.
wazanzibari na uchaguzi wa meya ILALA wanauhusiano gani hapo?
 
Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wake wa Wilaya hiyo Asaa Simba aliponukuliwa na gazeti la mwananchi.

Amesema wapo kwenye mchakato wa kumburuza mahakamani Mkurugenzi wa manispaa hiyo Isaya Mngurumi.

Akiendelea kufunguka zaidi Simba alisema mojawapo ya sababu zilizosababisha wakagomea uchaguzi huo ni kuzuiliwa wabunge wanane wa viti maalum wakiwemo waliotoka mikoa ya Zanzibar.
au wanataka kufanya kama aliyofanya JECHA???
 
Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wake wa Wilaya hiyo Asaa Simba aliponukuliwa na gazeti la mwananchi.

Amesema wapo kwenye mchakato wa kumburuza mahakamani Mkurugenzi wa manispaa hiyo Isaya Mngurumi.

Akiendelea kufunguka zaidi Simba alisema mojawapo ya sababu zilizosababisha wakagomea uchaguzi huo ni kuzuiliwa wabunge wanane wa viti maalum wakiwemo waliotoka mikoa ya Zanzibar.
Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wake wa Wilaya hiyo Asaa Simba aliponukuliwa na gazeti la mwananchi.

Amesema wapo kwenye mchakato wa kumburuza mahakamani Mkurugenzi wa manispaa hiyo Isaya Mngurumi.

Akiendelea kufunguka zaidi Simba alisema mojawapo ya sababu zilizosababisha wakagomea uchaguzi huo ni kuzuiliwa wabunge wanane wa viti maalum wakiwemo waliotoka mikoa ya Zanzibar.
Hapo anayetakiwa kuburuzwa mahakani ni Mh. Simbachawene, maana yeye ndo aliagiza kuwa wanaotakiwa kushiriki katika uchaguzi wa mameya wawe wanatokana na jimbo husika na sio vinginevyo. Tena akasisitiza kuwa atakaekwenda kinyume na agizo lake hilo kibano kinamngoja.
 
au wanataka kufanya kama aliyofanya JECHA???

Mwalla unajua ukitaka kuifunga YANGA ni kwenye penalty box tu,sasa hawa waliweka mpira kwapani baada ya kujua mwisho wa yote lazima wakung'utwe kwa PENALTY
 
Kosa Kubwa walilolifanya CCM ni kumuacha Isaya Mgulumi asimamie uchaguzi huo,walipaswa wamwite jecha aje asimamie huo uchaguzi,ccm chini ya jecha hakuna kushindwa,ni ushindi tu,wakishindwa uchaguzi unafutwa na matokeo yake yote.

Tukisema kuwa mwanachama wa ccm unapaswa uwe Taahira watu wanabisha,sasa wabunge wa Zanzibar wanaingiaje katika Halmashauri za Dar?Ni aibu na fedheha sana kujiita mwanaccm mbele ya jamii ya wastaarabu,aibu sana.Halafu watu wakisema Ukweli Nape anakimbilia kufungia Gazeti na Policcm wanakutafuta wakuweke korokoroni.

Sasa kama umeya unawatoa roho,mtatuaminisha vipi kuwa Magufuli ni mshindi halali wa Urais?Ni vigumu kwa Mwenye akili timamu kuiamini NECCCM eti ilikuwa huru na aliyetangazwa ni mshindi halali.

Laiti nignekua ulipo ningekutakrimisha mkuu, un mawazo ya kimilenia kabisa na watu kama wee ndo TUAWATAKA HUMU humu JF. Ukichokisema au kuanduka ndo mfano mzuuuri sana kwa ukweli unaofichwa na wahusika na kulazimisha kutuaminisha wa tanzania kua raisi wetu ni JPM kisa wameshika mpini nasi tuko kwenye makali. IKO SIKU KIBAO KITAWAGEUKIA NAO WATAONJA MAKALI YA HUO UPANDE.

Bado hatujapotea ligi, ni kamchezo kamoja tu. Mungu ibariki sana UKAWA NA MAKAMANDA WOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOTE.
 
Movie linaendelea kumbe wabunge wa zanzibar ni wabunge wa bara pia... Vutuko haviishi ccm
 
Back
Top Bottom