tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,813
- 15,078
kuna usharika hapa arusha walikua wamemualika ila cha ajabu kaingia mitini.Mualike kwenye harambee asipo changa ndipo aulizwe kwanini hajachanga.
kuna usharika hapa arusha walikua wamemualika ila cha ajabu kaingia mitini.Mualike kwenye harambee asipo changa ndipo aulizwe kwanini hajachanga.
kwa hiyo anavunga hadi 2019?Msimu wake bado. Subiri kipenga.
kwani wale marafiki zake hawamchangii siku hizi?mkuu unadhani zile gharama alizotumia katika kampeni ni za mchezo" Babu sasa hivi mgodi umepungua so anazichanganya mdogo mdogo
Mualike kwenye harambee asipo changa ndipo aulizwe kwanini hajachanga.
Hana hela za mchezonaomba kujulishwa,ni kafulia au ana majukumu mengi?
mbona kipindi kile alikua anachangia yeye tu?Kwani lazima achangie yeye ?! Huo ulazima ni wa nini?! Mbona wewe mleta mada hujachangia hata ujenzi wa drs kijijini kwenu?! .
Kajua watanzania noma ukisema nina hela ya bure wanajipanga mashehe wachungaji maaskofu na viongozi wa mila matapeli wako tayari hata kudeki barabara wanaila pesa yake wakishaila wanatokomea gizani hawamtafuti tena nadhani ushauri wangu kwake aache siasa aanzishe hata kituo cha kulea watoto albino au walemavu au awasomeshe atapata thawabu kubwa kuliko kuhudumia na kumwaga pesa Kwa matapeli wa harambeekuna usharika hapa arusha walikua wamemualika ila cha ajabu kaingia mitini.
kwa hiyo kipindi kile alikua nazo za mchezo?Hana hela za mchezo
mkuu,lkn huyu jamaa lifikia mpaka akawa ananunua mialiko!Kajua watanzania noma ukisema nina hela ya bure wanajipanga mashehe wachungaji maaskofu na viongozi wa mila matapeli wako tayari hata kudeki barabara wanaila pesa yake wakishaila wanatokomea gizani hawamtafuti tena nadhani ushauri wangu kwake aache siasa aanzishe hata kituo cha kulea watoto albino au walemavu au awasomeshe atapata thawabu kubwa kuliko kuhudumia na kumwaga pesa Kwa matapeli wa harambee
Alikuwa nazo za Richmond na za marafiki zake mafisadi waliimchangia pesa za bure walizokuwa wakikwapua kupitia ufisadi Mbali Mbali kwenye serikali na mashirika ya umma wafanyakazi na wafanyabiashara mafisadi angeshika nchi ingekuwa chini ya mafisadi tukwa hiyo kipindi kile alikua nazo za mchezo?
Haya ndio mawazo ya kimaskini, hujauliza mbona hatuzioni pushup? Vipi kimya kina baba Paroko?naomba kujulishwa,ni kafulia au ana majukumu mengi?
Hata Bible imeandika kila jambo na wakati wake. Huu ni wakati wako kuchangia ujenzi wa taifa hili.mbona kipindi kile alikua anachangia yeye tu?