mop
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 867
- 651
Wewe kiboko,umenifanya nicheke hd watoto wamenishangaa maana nilikuwa naangalia tamthiliya ya kikoreaMkuu ujio wa huyu jamaa amesababisha watu tushindwe hata kununuliana bia.Namchukia sana aliye leta wazo la kuzuia uuzwaji wa viloba.Sh.3,900 ilikuwa inanitosha kabisa kupishana kwa mbwembwe na wachawi usiku.Saa hivi najizungusha tu ndani utadhani naangalia tamthilia ya Kikorea isiyo tafsiriwa.