tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,810
- 15,068
push ups huzioni,kwani huoni anavyowahenyesha huko serikalini,huoni alivyowadhibiti wapiga dili wenzio?Haya ndio mawazo ya kimaskini, hujauliza mbona hatuzioni pushup? Vipi kimya kina baba Paroko?