CCM Huu ni UDINI wa aina yake

CCM Huu ni UDINI wa aina yake

Nyerere si alimkataa lowasa na ccm wanzmfuata Nyerere mbona kwa Hili wanamkumbatia lowasa
 
Kiukweli Lowasa ni kamanda ambaye maamuzi yake yamejaa udhubutu.Anasimamia maamuzi yake na karama amejaliwa kuweza kuona mbele.Aliamua kuvuta maji ya ziwa Victoria kwenda Kahama ingawaje mataifa hayakuafiki mpango huo,alitaka kujenga barabara ya lami kupita mbuga ya Ngorongoro / serengeti, Shule za Kata,maji Chalinze kutoka Mto Wami, kujiuzuru uwaziri mkuu-kuwajibika,nk.Kuna watanzania wengi wana rasilimali nyingilakni kugawana kidogo na wengine hawawezi ila kujilimbikizia.Mtazamo wa karibu inaonekana anajikomba komba kwenye jamii ili achaguliwe kuwa Rais ajaye.Zamani hata katoliki iliendeshwa kwa misaada toka Ulaya lkn kwa sasa misaada imekoma.Kila taasisi lazima ijiendeshe ndo maana harambee zimekuwa nyingi.Na ni ukweli usiopingika ili upate fedha ni lazma mgeni rasmi lazma auzike na waalikwa waone mvuto wake
 
Kwa hiyo akitafuta umaarufu kanisani na misikitini ni sawa?
Kiukweli Lowasa ni kamanda ambaye maamuzi yake yamejaa udhubutu.Anasimamia maamuzi yake na karama amejaliwa kuweza kuona mbele.Aliamua kuvuta maji ya ziwa Victoria kwenda Kahama ingawaje mataifa hayakuafiki mpango huo,alitaka kujenga barabara ya lami kupita mbuga ya Ngorongoro / serengeti, Shule za Kata,maji Chalinze kutoka Mto Wami, kujiuzuru uwaziri mkuu-kuwajibika,nk.Kuna watanzania wengi wana rasilimali nyingilakni kugawana kidogo na wengine hawawezi ila kujilimbikizia.Mtazamo wa karibu inaonekana anajikomba komba kwenye jamii ili achaguliwe kuwa Rais ajaye.Zamani hata katoliki iliendeshwa kwa misaada toka Ulaya lkn kwa sasa misaada imekoma.Kila taasisi lazima ijiendeshe ndo maana harambee zimekuwa nyingi.Na ni ukweli usiopingika ili upate fedha ni lazma mgeni rasmi lazma auzike na waalikwa waone mvuto wake
 
The Next President Of The United Republic Of Tanzania His Excellency Honourable Edward Lowassa 'Maestro' yaani ni suala la muda tu kabla hatujaingia Magogoni...Tumaini Letu
 
katika viongozi wa siasa waliotumia makanisa na misikiti kujijenga lowasa anaongoza. amediriki hata kujigeuza muislamu kwa muda fulani alimradi aukwae urais.kwa kweli watanzania tumekwama.
 
The Next President Of The United Republic Of Tanzania His Excellency Honourable Edward Lowassa 'Maestro' yaani ni suala la muda tu kabla hatujaingia Magogoni...Tumaini Letu

kama ni hivo tumekwisha. hakuna kiongozi anayemzidi huyu bwana kwa kuhonga makanisani na misikitini. hali hii ni ya kuikataa kwa nguvu zote.
 
Back
Top Bottom