Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,789
- 1,732
Mheshimiwa Edward Lowassa, watu wanakutaja sana kuwa una nia ya kugombea urais.
Wakati huo huo unasikika ukihaha kila kona ya Tanzania ukitembelea makanisa na misikiti mbalimbali na kutoa misaada mikubwa mikubwa kwa mahitaji mbali mbali ya makanisa na misikiti hiyo kama ambavyo umeripotiwa na vyombo vya habari hapa chini:
Kanisa lamuandalia tuzo Lowassa
Filikunjombe, Ligola wajitosa kambi ya Lowassa, wamnadi kanisani Iringa. | Dullonet Tanzania
Mzee wa Mshitu: Lowassa ashiriki harambee ya kanisa Akyeri Meru
Mbeya Yetu: LOWASSA ACHANGIA MILIONI 10 KANISA LA EAGT TUNDUMA MBEYA
Lowassa ajiweka mbali na kampeni Arumeru,ajikita kanisani..
Msamaa.
LOWASSA AMWAGIA FEDHA KANISANI ~ Mwanafasihi Mahiri
Lowassa kuongoza Harambee ya Kanisa Nyakato Mwanza | Fikra Pevu | Kisima cha busara!
MH. LOWASSA AONGOZA HARAMBEE YA KUNUNUA BASI LA KWAYA LA KANISA LA KKKT,MSASANI JIJINI DAR ~ Father Kidevu
WAZIRI MKUU AWAMU YA NNE ACHANGISHA SH100 KANISANI DAR ES SALAAM. ~ JUMA MTANDA
habarimpya.com - Kanisa lazidi kumtumia Lowassa katika harambee
Lowassa aendesha harambee Kanisa la Moravian Mbezi Beach Dar | Blog ya habari Tanzania | Online Newspaper | Thehabari.com
Misikitini nako, Lowassa hakuwa nyuma kama ifuatavyo:
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akikabidhi msaada wa
Tshs milioni 5 kwa Katibu Mkuu wa Baraza la Misikiti Tanzania (BAMITA) SHeikh Salum Sung'he kwa
ajili ya kuendeleza mipango kazi ya BAMITA.
(Unaona Sheikh alivyoinama kwa adabu?)
Katibu Mkuu wa BAMITA akizungumza na waandishi wa habari akimshukuru Mh. Lowassa
(Bila shaka kamsifia pia)
Hata Redio yetu, Radio Imaan....nayo imechangiwa!
Mheshimiwa huwa hagawi tende jamani hizo ni ANKRA
Edward 'Maestro' Lowassa....cheka naye maisha yabadilike.
Akwiiiii! Muru ingine nasaniaga masai hafui kandambuga.....haba ago peku nafanya ibada
Kutokana na haya ninapata maswali yafuatayo:
1. Je Mh. Lowassa, unatarajia kulipwa kura na WAUMINI hao ambao unawasaidia kwa vihela hivyo?
2. Je huu si udini kwa kiongozi anayetarajia kugombea urais kutumia nyumba za ibada kupata umaarufu wa kisiasa?
3. Je haya yangefanywa na mwanasiasa asiye wa chama tawala ingezua mjadala gani?
Kama kweli anajali wenye shida, kwa nini hasaidii shule na hospitali za serikali? Kwa nini hasaidii vikundi vya vijana? Kwa nini hasaidii vikundi vya wakulima? Kwa nini hasaidii vikundi vya akina mama?
Kwa nini misikitini na makanisani?
Let us call a spade a spade. Kama ni UDINI tuuite UDINI bila kujali mtu huyo ni wa chama gani.
Wakati huo huo unasikika ukihaha kila kona ya Tanzania ukitembelea makanisa na misikiti mbalimbali na kutoa misaada mikubwa mikubwa kwa mahitaji mbali mbali ya makanisa na misikiti hiyo kama ambavyo umeripotiwa na vyombo vya habari hapa chini:
Kanisa lamuandalia tuzo Lowassa
Filikunjombe, Ligola wajitosa kambi ya Lowassa, wamnadi kanisani Iringa. | Dullonet Tanzania
Mzee wa Mshitu: Lowassa ashiriki harambee ya kanisa Akyeri Meru
Mbeya Yetu: LOWASSA ACHANGIA MILIONI 10 KANISA LA EAGT TUNDUMA MBEYA
Lowassa ajiweka mbali na kampeni Arumeru,ajikita kanisani..
Msamaa.
LOWASSA AMWAGIA FEDHA KANISANI ~ Mwanafasihi Mahiri
Lowassa kuongoza Harambee ya Kanisa Nyakato Mwanza | Fikra Pevu | Kisima cha busara!
MH. LOWASSA AONGOZA HARAMBEE YA KUNUNUA BASI LA KWAYA LA KANISA LA KKKT,MSASANI JIJINI DAR ~ Father Kidevu
WAZIRI MKUU AWAMU YA NNE ACHANGISHA SH100 KANISANI DAR ES SALAAM. ~ JUMA MTANDA
habarimpya.com - Kanisa lazidi kumtumia Lowassa katika harambee
Lowassa aendesha harambee Kanisa la Moravian Mbezi Beach Dar | Blog ya habari Tanzania | Online Newspaper | Thehabari.com
Misikitini nako, Lowassa hakuwa nyuma kama ifuatavyo:
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akikabidhi msaada wa
Tshs milioni 5 kwa Katibu Mkuu wa Baraza la Misikiti Tanzania (BAMITA) SHeikh Salum Sung'he kwa
ajili ya kuendeleza mipango kazi ya BAMITA.
(Unaona Sheikh alivyoinama kwa adabu?)
Katibu Mkuu wa BAMITA akizungumza na waandishi wa habari akimshukuru Mh. Lowassa
(Bila shaka kamsifia pia)
Hata Redio yetu, Radio Imaan....nayo imechangiwa!
Mheshimiwa huwa hagawi tende jamani hizo ni ANKRA
Edward 'Maestro' Lowassa....cheka naye maisha yabadilike.
Akwiiiii! Muru ingine nasaniaga masai hafui kandambuga.....haba ago peku nafanya ibada
Kutokana na haya ninapata maswali yafuatayo:
1. Je Mh. Lowassa, unatarajia kulipwa kura na WAUMINI hao ambao unawasaidia kwa vihela hivyo?
2. Je huu si udini kwa kiongozi anayetarajia kugombea urais kutumia nyumba za ibada kupata umaarufu wa kisiasa?
3. Je haya yangefanywa na mwanasiasa asiye wa chama tawala ingezua mjadala gani?
Kama kweli anajali wenye shida, kwa nini hasaidii shule na hospitali za serikali? Kwa nini hasaidii vikundi vya vijana? Kwa nini hasaidii vikundi vya wakulima? Kwa nini hasaidii vikundi vya akina mama?
Kwa nini misikitini na makanisani?
Let us call a spade a spade. Kama ni UDINI tuuite UDINI bila kujali mtu huyo ni wa chama gani.