Ccm Hoi Handeni,Chadema Wanaelekea Kushinda

Ccm Hoi Handeni,Chadema Wanaelekea Kushinda

Kuna tetesi nimezipata kutoka handeni ni kuwa mpaka sasa Ccm wapo hoi
Na chadema wanaongoza kwa kura nyingi sana.
inawezekana mkuu , maana nchi nzima imechukizwa sana na baraza la mawaziri .
 
Kuna tetesi nimezipata kutoka handeni ni kuwa mpaka sasa Ccm wapo hoi
Na chadema wanaongoza kwa kura nyingi sana.

lowerhasa lazima ashinde urais mwaka huu, hamnaga uhakika. Maneno co ushindi
 
Kuna tetesi nimezipata kutoka handeni ni kuwa mpaka sasa Ccm wapo hoi
Na chadema wanaongoza kwa kura nyingi sana.

weka matokeo kwa vituo sio kubwabwaja. uzuri baadhi yenu mnaujua ukweli ila hampendi kukiri tu
 
Handeni bado wako gizani... ni ELIMU, ELIMU, ELIMU... hawajui kwnn uchawi uko huko umekaa miaka yote.. sbb ya CCM... CCM wanawafanya watu makumazan, majinga kuwakosesha elimu ili kuwatawala kisha kuwaita MANYUMBU... 😨😠

Handeni sina uhakika kama wameona jua huko...!!
 
Handeni bado wako gizani... ni ELIMU, ELIMU, ELIMU... hawajui kwnn uchawi uko huko umekaa miaka yote.. sbb ya CCM... CCM wanawafanya watu makumazan, majinga kuwakosesha elimu ili kuwatawala kisha kuwaita MANYUMBU... 😨😠

Handeni sina uhakika kama wameona jua huko...!!

Handeni na bagamoyo kitu kimoja.manga mpakani
 
ccm 13519,chadema 614,cuf 2419.,matokeo ya mwisho.mbunge mteule ni Kigoda Omar Abdalah
 
we,unamaanisha ccm ishindwe ilipowekeza ujinga vichwani mwa watu?
 
Kule handeni utakuta kinyumba cha nyasi kina bendera ya ccm ni km vile hawajielewi
 
Back
Top Bottom