Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,707
- 272,604
inawezekana mkuu , maana nchi nzima imechukizwa sana na baraza la mawaziri .Kuna tetesi nimezipata kutoka handeni ni kuwa mpaka sasa Ccm wapo hoi
Na chadema wanaongoza kwa kura nyingi sana.