Ccm Hoi Handeni,Chadema Wanaelekea Kushinda

Ccm Hoi Handeni,Chadema Wanaelekea Kushinda

Huko Handeni bado wanajua Nyerere bado yupo, acheni waendelee na fisiccm yao..
 
Hao wazigua akili zao zimeganda na wapo ktk usingizi wa pono yaacheni mafisiem yawatese saisi majiji tu .hayo ni kama Yale makoma na ombaomba walivomchagua lusinde

Kweli kabisa ndugu, halafu eti yana andamana mashamba wananyang'anywa mala ooh njaa imevikumba vijiji kadhaa, wanafunzi darasani wanakalia mawe lakini wanaabudu sisiem. Binadamu hawa ubongo wao sijui unanini?
 
Achilia mbali kushinda Chadema hata kuwa wa pili hawezi Hadeni.
 
Kweli kabisa ndugu, halafu eti yana andamana mashamba wananyang'anywa mala ooh njaa imevikumba vijiji kadhaa, wanafunzi darasani wanakalia mawe lakini wanaabudu sisiem. Binadamu hawa ubongo wao sijui unanini?

pombe ya mnazi imewaathiri ubongo teh teh teh
 
Kwa maana hiyo hizi mbio zote za bwana magu hazijasaidia kitu kubadili watu jamani?muwe na huruma basi wananchi!
 
Tuacheni utani, Handeni kwa upinzani kushinda bado sana.
 
huko ni ndoto kwa cdm kushinda, kuna mazombi mengimuno huko, na kama mnavyo jua mazombi yanaongozwa na fikra za marehemu
 
Back
Top Bottom