CCM hata wakiweka ng'ombe, aweza kushinda!

Mambo sivyo yalivyo ndugu. Kulikuwa na kazi ya kuondoa mgando uliokuwa umejengwa vipindi vya nyuma. Watu walizuiwa kufahamu yaliyokuwa yanatokea duniani, (mf TV) etc. Sasa wengi ccm inaojivunia hadi sasa bado wapo vijijini ambapo hali haijabadilika sana. Labda ccm ihakikishe kuwa inaendelea kuwafungia watu kama enzi za nyerere, vinginevyo, hata watu wanaojidai kuwa wako makini, inabidi waangalie wasianguke!

Tanzania ya leo sio ya jana!
 
Tatizo ni wapiga kura wasio elewa chochote na wizi wa kina Makamba,ndio maana zamani wakulima AKA peasants katika nchi nyingi tuu walikuwa hawaruhusiwi kupiga kura.
 
Nilipingana sana na watu majuzi ishu ya CHADEMA, na nikasema the same thing.

Vyama vya siasa viwe free erros/mistake zone, wajenge strong convicing power kwa wapiga kura.

Kusema CHADEMA haina ukabila, CUF haina udini, na kubishana humu havisaidii,kwenye politic jeng mazingira yatakayoondoa swali la kwanini?

hii itawafanya maadui wakose cha kusema, maana kuwapata wapiga kura SI MCHEZO! weka ng'ombe au nini CCM wanapita, upinzani inabidi uzidi juu zaidi ya ujinga wa wananchi walio wengi, hapo ndio kazi ilipo, kinyume chake ni kuishia kula ruzuku na kusubiri kufa!
 
Matayarisho ya kumpata mwenye meno yanaendelea
HappyCow.jpg

Lipstick kesha pakaa, tunamalizia kumrembesha ngozi yake. Ndugu zangu tuvumilieni hii kazi bado siyo rahisi mwaka 2010

...huyu lazima atakuwa Zawadi Ngedere..."Haluwa Kontinua".."Mipasho bado inaendelea..."
 
Hakuna chama chochote kinaweza kuishinda tume ya uchaguzi ya CCM (NEC)
labda watanzania wote wasimame kwa umaoja wao kupiga vita
 
nkumbuka mbunge flani wa kilombero kwasasa ni marehemu aliwahi kusema hata akiweka koti lake bila mwenyewe kuwepo atashinda, na kweli kwenye campain hakuwa anakuja, walikuwepo tu wapambe wake na mwisho wa siku akashinda kwa ushindi mkubwa sana
 
Hakuna chama chochote kinaweza kuishinda tume ya uchaguzi ya CCM (NEC)
labda watanzania wote wasimame kwa umaoja wao kupiga vita

sijui kama iko siku sisi watanzania tutasimama na kuwa kitu kimoja labda
sidhani kama itatokea
 
nkumbuka mbunge flani wa kilombero kwasasa ni marehemu aliwahi kusema hata akiweka koti lake bila mwenyewe kuwepo atashinda, na kweli kwenye campain hakuwa anakuja, walikuwepo tu wapambe wake na mwisho wa siku akashinda kwa ushindi mkubwa sana


eeeeeeeh hii kubwa kuliko
 
Si hivyo tu, hata wasipoweka mgombea, watashinda tuuuuu

Mbona hawakushinda Tarime? Watanzania sio wajinga kama mnavyofikiri. Watanzania wamechoka, sasa wakielezwa wanaelewa. Ushahidi ni Chaguzi ndogo za Kiteto, Tarime, Busanda na Biharamulo. Licha ya kubebwa na Tume, Usalama wa Taifa, Polisi, FFU, Serikali kuu, Serikali za mitaa, mabalozi wa nyumba kumikumi na pesa za mafisadi bado waliendeshwa puta. Kama wangeweka "ng'ombe" tungekuwa tunaongelea mambo tofauti hapa. Kwenye uchaguzi wa 2005 wapinzani hawakuwa na resources za kuweza kuwafikia wananchi wengi na kuwaelimisha. CCM on the other hand walikuwa wanatamba na pesa walizoiba EPA.

Swala la wapinzani kutokuwa na resources sasa linaelekea kutoweka. Hamna mtu anayependa kuchangia a loosing cause. Wapinzani wameonyesha wanaweza na watu sasa wako willing kuwa support by all means. Mark my words, kwenye uchaguzi wa 2010 wagombea wa CCM watakaopata zaidi ya 60% ya kura watakuwa wachache sana. Na popote pale watakapomweka "ng'ombe" watagaragazwa vibaya sana.
 
hata nyani akiwekwa atashinda tena kwa % nyingi kuliko cow manake nyani kidogo anafanana na sisi wadanganyika
 
Back
Top Bottom