CCM: Dk. Slaa na wenzake wadandia kinguvu mazishi ya Mwangosi, Mbeya

Kweli mkuu, hata mimi sijawahi kuona kadi za mwaliko wa msiba. Huyu Godwin naye anajivunjia heshima, kama anayo lakini.

Heshima yenyewe si mpaka awe nayo!!!hiyo adabu tu hana, ndiyo maana anabanagua watu wa kuhudhuria
msiba.
 
Ni huyu Huyu G aliyetuletea taarifa eti alitaka kuuwawa heri yeye ndiye angekufa mnafiki mkubwa huyu(samahani kwa kuongea haya)
 
Huwezi kuusafiria msiba ambao una uhusiano nao kama Dr Slaa anapenda kuzika mbona Dar kuna misiba mingi kaicha kaenda huko mbali.

Udumavu wa akili huu.....Kidumu chama cha mapinduzi!
 
Hoja dhaifu
 
Huwezi kuusafiria msiba ambao una uhusiano nao kama Dr Slaa anapenda kuzika mbona Dar kuna misiba mingi kaicha kaenda huko mbali.


Ningetegemea huyu Godwin kuwakataza CHADEMA kuuchukua mwili wa Mwangosi eneo la tukio baada ya kutelekezwa na Polisi. Yeye Godwin ndo anadandia mambo. Kama mtu amefia nyumbani au ofisini kwako kuna tatizo gani ukabeba mojawapo ya majukumu makubwa katika kufanikisha mazishi? Dr. Slaa hajavamia bali amewajibika na ndivyo alivyotakiwa afanye.
 

Hili jamaa jinga sana na ni lilamba viatu na liosha kinywa la magambaz!
 
Msiba siyo wa chadema ni wawanahabari.mwanahabari kauawa kwenye mkutano wa cdm ambao siyo wawana habari.wana habari walikwenda kufanya nini kwenye mkutano usiyo kuwa wao?.kile kilicho wafanya wanahabari wakaenda kwenye mkutano usiyo wahusu ndiyo kilicho wafanya chadema kwenda kwenye msiba tena hata zaidi ya wanahabari wenyenyewe.kwa sababu msibaumetokea kwenye himaya yao ni kama wao.
 
Hapa tena siasa, jamani! nafikiri mhusika aliogopa kuwa kama chadema wangeshiriki basi utawala na ccm wangeowahusisha waandishi na cdm. hii ni hofu ya kawaida. lakini kutoshiriki kwa cdm kungetafsiriwa negatively na kuipunguzia cdm credibilty. Watanzania ni watu wanaojali sana misiba na katika hili hata huko mitaani hakuna ubaguzi. sasa unadhani cdm wangeendele na mikutano au wakalele wakati tukio lilitokea ndani ya nyumba yao? ACHA HIZO!
 
watupe taarifa ya utekelezaji wa sera ya kujivua gamba, waache kupotosha ukweli ulio wazi katika picha na video
 

Mkuu wala usiumize kichwa ukisoma vizuri hii habari utagundua ina walakini mfano:
1. Wanasiasa wanaosemekana walizuiwa ni wa CDM pekee? Mbona Mwandosya na wapambe wake walikuwepo? Au ndo nyani hao k**dule?

2. Wanasema gari lililokuwa na mwili wa marehemu pamoja na waandishi lilisimamishwa na kundi la watu na kuingia kinguvu. Huo mwili waliubebea kwenye Fuso au Hood from Iringa? Maana kama ni gari ndogo (hata coaster) sidhani kama ingetosha kubeba waandishi, jeneza, ndugu, kundi la vijana.
 
Hivi Kanumba alikuwa na cheo gani ktk siasa vile?

watu wengi walihudhuria wakiwepo wanasiasa ambao pia walitoa ubani, lilikuwa tukionmaalum. tukio la Mwangosi ni unique na mtu yeyeto aliyesikia angeweza kushiriki.
 

Huyu Godwin Francis ni mwandishi wa habari wa media gani,Ch10,Uhuru/Mzalando,Habari Leo,Daily News au????
Kinachooneka hapa ni kwamba huyu jamaa anataka kutumiwa tu na CCM ili kupotosha maana halisi ya ushiriki wa CDM kwenye msiba huu!

Kwa jadi za kiafrika mtu yeyote na mahali popote anaweza kushiriki kwenye msiba/mazishi ya marehemu bila kujadili itikadi za chama wala dini. CCM waache kulaghai watu kwa kujaribu kukipaka matope CDM! Pambaf zao.
 

Achani mambo ya ki pu uzi na ki umagamba magamba. Tangu lini tukabaguana nani wa kufika kwenye msiba???? Watanzania hatujafika hapo jamani. Mnataka kutupeleka wapi???? Eti mtu kadandia msiba. Are you insane????
 
Nachukia sana hii mambo ya kushadadia siasa kwa kila jambo na kuacha kushughulikia mambo ya msingi ya maendeleo. CCM wanatakiwa wawaeleze wananchi kodi zao zimezaa matunda gani na si kuja na kauli nyiiingiii za kisiasa katika kifo cha mwenzetu Mwangosi ambacho kimesababishwa na serikali yao, na sasa wanafikri WaTz watawaonea huruma kwa ku-capitalize kuwa M4C ndo chanzo. CCM, eleweni kuwa sisi siyo akina ZOMBA!
 
Hivi Dr. Slaa alipigwa ban asiwe anaenda kwenye misiba ya aina hii? Propaganda nyingine ni ujinga mtupu.
 
Hivi Dr. Slaa alipigwa ban asiwe anaenda kwenye misiba ya aina hii? Propaganda nyingine ni ujinga mtupu.

Mi nashindwa kuelewa mkuu. Halafu mbona Mwandosya naye alikuwepo! Au si mwanasiasa yule siku hizi? Au kwa vile ni wa CCM?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…