Mbwa leo ameongea pointKwani kuna ubaya? Mbona kuna ndoa ya Tanganyika kuolewa na Zanzibar? nasemaa kuolewa na Zanzibar kwa kuwa baada ya ndoa jina Tanganyika limekufa na Zanzibar lipo. Na nnavojuwa tabia za wenzetu wanaojidai wameendelea ukiolewa unafuta jina lako na linabaki la mume tu.
utapigwa ban weweMbwa leo ameongea point
Mwe! kwa hiyo wanaCUF NI VIBURUDISHO VYA wanaCCM????????
mtaweweseka sana mwaka huu kipigo mlichopata igunga hamtakisahau,mtabaki kuzusha unafiki tu,ila watzania hawawashangai mnajulikana kwa unafiki na uzandiki nawizi pia.Umeambiwa gari zilikuwa nduki kjwelikweli sada angepiga vipi picha wewe.....................kwani hata ukibisha cuf sio ccm-b?......wale ni wanandoa na ni haki yao kushehekea ila hii nadhani ni taarifa tu km taarifa zingine za wanadoa.......