CCM, Chama cha Mauaji

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
17,551
Reaction score
28,511
Kwa kweli CCM ya sasa haistahili hata kuwepo madarakani.
CCM sasa hivi ni Cha Cha Mauaji.
Kimeiagiza serikali inacho kiongoza kuua wananchi.

Chama cha Mauaji kinakosa kuwa chama kinacho wakilisha maoni ya wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…