CCM Bunda kutoa form za kugombea bure

CCM Bunda kutoa form za kugombea bure

kwa nini mwanachama mmoja wa chadema asichukue fomu kwa ticket ya ccm halafu uchaguzi kama kesho ajitoe na kumuachia mgombea wetu wa chadema??

Uhuni huo hufanywa na ccm. Chama makini kama chadema hakiwezi kurithi uhuni wa kijinga kwenye demokrasia kwa namna hiyo.
 
Chama cha Mapinduzi wilaya ya Bunda kinawatangazia wanachama wake au yoyote anaehitaji kujiunga na chama kuwa form za Ugombea Udiwani Kata ya Nyasura zitatokewa Bure,hii ni kutoka na kujitoa kwa wagombea wawili na kukosa Mgombea

Wasira akimaliza sikukuu atakuja kumweka mgombea hafu tuone nani atakaye mshinda mgombea wa Tyson
 
Namwonea huruma sana wasira. Sijui atakimbilia wapi mwakani. Ntapanda gari nikapige kura kwa sababu yake.
 
Back
Top Bottom