mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
- Thread starter
- #21
Mliopo Bunda mkipata Mgombea mtujuze ili sisi wana CCM tupate pa kupumua maana ni aibu jamani leo siku ya Tano Nape kimya
Hawa hapa Lumumba Buku Saba FC wanapanga mashambulizi...
View attachment 129616
Tena ana kesi ya kujibu aliwateka vijana wa chadema na kuwatesa kuliko ilivyokuwa operation Tokomezakuweni makini mkuu wa wilaya hiyo bw mirumbe Serengeti alilazimisha hadi diwani wa kata ya machira kupora kura
Ukikoaa topic kaa kimya
Nyie Vijana wa Chadema katika dhambi mnayotakiwa kutubu ni UONGO sijawahi kuona vijana waongo na wanafiki kama nyie, hivi hii inahusu Bunda ya Kenya Mbeya au Mkoa wa Mara?
Kama ni Mara basi tusubili tuone chadema kama itashinda.
Hakuna taarifa ya wagombea kujitoa Bali walienguliwa na wanaojitokeza ni watu wenye sifa.
Subilieni aibu yenu February mwaka huu.
Happy new year!
kwa nini mwanachama mmoja wa chadema asichukue fomu kwa ticket ya ccm halafu uchaguzi kama kesho ajitoe na kumuachia mgombea wetu wa chadema??Chama cha Mapinduzi wilaya ya Bunda kinawatangazia wanachama wake au yoyote anaehitaji kujiunga na chama kuwa form za Ugombea Udiwani Kata ya Nyasura zitatokewa Bure,hii ni kutoka na kujitoa kwa wagombea wawili na kukosa Mgombea
Wewe lazima utakuwa Bavicha.CCM inaanza kufa taratibu,hadi kufikia 2015 watakuwa wamebaki kiduchu wasiofika hata 200!