Professor mjinga
Member
- Oct 24, 2020
- 72
- 50
Nafikiri CCM ita shinda ina mtaji mkubwa vijijini ambako kuna asilimia kubwa ya Watanzania haya ni maoni yangu
We mkikukuyu kapambane na ukabila kenya kwanza
Lissu tumempa chalenj akipata kura laki tano yeye ni kidume
Jamaa yangu ata hujishtukii Yani mmebaki Kama watano hapa jamiiforum mnaomtetea diktkta uchwara??
Ata hujishtukii?? Mbona CCM wenzako wamewasusia?? Kuna Siri gani.
Maji tuu mnashindwa kuwapa waTanzania miaka 60? Miaka mi5 iliyobaki ndo ataweza huyoo dikteta??
Ajira holaa
Habari holaa
Mishahara holaa
Upendeleo wa vyeti feki
Myongeza holaa
Mzunguko wa hela holaa(wekeni griss)
Michango ya Tetemeko kula
Nunua ya wabunge
Uwanja chato
Mbuga ya wanyama chato
Ben saa nane poteza
Tundu Lisu risasi
Uhuru holaa
HII NI INCHI AU JEHANAMU.
Wewe ni mhalifu tu, kama huna kosa kwa nini uogope money laundering?Mimi ni baadhi ya wahanga wa kamati kuu. Ingawa tulishinda kwenye kura za maoni matokeo yake najina yetu yalikatwa. Nilikuwa wa kwanza lakini baadae niliondolewa. Nilipohoji niliambiwa ntapigwa money laundering. Nikaufyata. Ila kwa kweli tuna jambo let tarehe 28 Oktoba.
Tuko wengi. Rafiki yangu ni katibu wa CCM mkoa, naye ana lake jambo 28 October. Yeye alimchangia Lissu laki 5 na mgombea ubunge laki moja. Tunaonekana kijani, lakini mioyoni tuna jambo let. Wana CCM wenzangu, CCM asili, fanyeni kweli tarehe 28 October.
Tugawane mbao na hawa CCM mpya. Kura kwa Lissu
hii imefanywa jehanam. nitamshangaa mtanzania mwenye akili timamu kumpigia kura Magufuli tarehe 28.Jamaa yangu ata hujishtukii Yani mmebaki Kama watano hapa jamiiforum mnaomtetea diktkta uchwara??
Ata hujishtukii?? Mbona CCM wenzako wamewasusia?? Kuna Siri gani.
Maji tuu mnashindwa kuwapa waTanzania miaka 60? Miaka mi5 iliyobaki ndo ataweza huyoo dikteta??
Ajira holaa
Habari holaa
Mishahara holaa
Upendeleo wa vyeti feki
Myongeza holaa
Mzunguko wa hela holaa(wekeni griss)
Michango ya Tetemeko kula
Nunua ya wabunge
Uwanja chato
Mbuga ya wanyama chato
Ben saa nane poteza
Tundu Lisu risasi
Uhuru holaa
HII NI INCHI AU JEHANAMU.
Huo ni uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
Hakuna Mtanzania atampigia kura msaliti wa Nchi
Pia Tanzania hatutaki ushoga,
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Huo ni uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
Hakuna Mtanzania atampigia kura msaliti wa Nchi
Pia Tanzania hatutaki ushoga,
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Yaani wewe sijawahi kuona ukipinga hoja kwa vitendo au kwa point zenye mashiko..... Huyo ni mwana CCM mwenzako,We mkikukuyu kapambane na ukabila kenya kwanza
Lissu tumempa chalenj akipata kura laki tano yeye ni kidume
Yaani wewe sijawahi kuona ukipinga hoja kwa vitendo au kwa point zenye mashiko..... Huyo ni mwana CCM mwenzako,
Mimi sina chama ila ninapoona hoja zako kwenye haya majukwaa huwa nafikiria sana na kujiuliza, wanaokulipa wanakulipa shilling ngapi
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Lisu alijua Hilo katembea adi namtumbwi ili kuwafuata huko vijijini.Nafikiri CCM ita shinda ina mtaji mkubwa vijijini ambako kuna asilimia kubwa ya Watanzania haya ni maoni yangu
Nimeshakiri sina chama, ila umeelewa swali langu? Hahaha jina lako linasadifuChadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Hahahahaha wewe jamaa upo nchi ipi money laundering unakamatwa unawekwa ndani afu kalenda za mahakamani.W
Wewe ni mhalifu tu, kama huna kosa kwa nini uogope money laundering?
"Vilainishi vya Mashoga vinapatika bure katika Hospitali yetu ya Taifa Muhimbili" namnukuu Wazidi wa Afya Mhe Ummy Mwalimu.Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Nimeshakiri sina chama, ila umeelewa swali langu? Hahaha jina lako linasadifu
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
"Vilainishi vya Mashoga vinapatika bure katika Hospitali yetu ya Taifa Muhimbili" namnukuu Wazidi wa Afya Mhe Ummy Mwalimu.
Vipi na izo ni uongo wa chadema.Huo ni uwongo wa Chadema mwisho wao ni October