habari za kuaminika baada ya kujua kua chama cha kijani jana kisingekua na wafuasi baada ya wanamapinduzi wa nhi na sisi wana arusha kua tuko katika majonzo na wao walikua wafanye maandamano ya mani eti kulaani mauaji yaliyosababishwa na chama chenye nguvu ya umma cdm lakini habari za kuaminika toka ofisi ndogo ya kaloleni ni kua wao nao wataandamana kwani wao ndio wanaotoa kibali na wao ndio wanadai wanayo haki sasa kazi ipo watapata watu na huenda mpaka sasa wanaomba fungu la kuhonga watu ila sisi wana arausha tuko katika hatua nyingine